Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Are Unidentified Flying Objects (UFOs) and Aliens Real? How safe is Planet Earth?

Kwa akili ndogo tu lazima ujue humu kuna watu wa fani tofauti na viwango vya elimu hata uelewa tofauti. ungekua na akili kama watu wengine ungeanza ku define terms kama DFHS. NASA. UFO. PIXTEL. PICK AXE. NONSENSE ETC. watu wengi hawana muda wa ku google terms zote hizo ndio wachangie. YOU HAVE VERY LITTLE KNOWLEDGE WHICH IS POISON. KHUBHAVH SHWAIN
 
Nafafanua kidogo ili sote wachangiaji tuweze kushiriki kwa ufasaha zaidi.

An unidentified flying object, or UFO, in its most general definition, is any apparent anomaly in the sky (or near or on the ground, but observed hovering, landing, or departing into the sky) that is not readily identifiable as any known object or phenomenon by visual observation and/or use of associated instrumentation such as radar. These anomalies were referred to popularly as "flying saucers" or "flying discs" during the late 1940s and early 1950s.
The term "UFO" (or "UFOB") was officially created in 1953 by the United States Air Force (USAF) to replace the more popular terms because of the variety of shapes described other than "discs" or "saucers." It was stated that a "UFOB" was "any airborne object which by performance, aerodynamic characteristics, or unusual features, does not conform to any presently known aircraft or missile type, or which cannot be positively identified as a familiar object." As originally defined, the term was restricted to those fraction of cases which remained unidentified after investigation, with USAF interest being for potential national security reasons and/or "technical aspects." (See Air Force Regulation 200-2.) The term UFO became more widespread during the 1950s, at first in professional literature, but later in popular use. UFOs garnered considerable interest during the Cold War, an era associated with a heightened concern for national security.
Various studies have concluded that the phenomenon does not represent a threat to national security nor does it contain anything worthy of scientific pursuit (e.g., 1953 CIA Robertson Panel, USAF Project Blue Book, Condon Committee). Culturally, the phenomenon has often been associated withextraterrestrial life or government-related conspiracy theories, and has become a popular theme in fiction.


Sasa hapa umefafanuwa nini? Hii google copy & paste?
 
Sasa hapa umefafanuwa nini? Hii google copy & paste?
\

Yeah mkuu nimeikuta kwenye encycripedia hope unaweza anzia hapo ukizingatia mleta mada keshaweka maana ya DHCS connect dots hapo anza nawe kuchangia sasa mkuu Matola.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu bwana Injinia! Kwani ninyi ''mainjinia'' wa kiafrika ni nani aliyewazuia kufanya wanavyofanya mataifa makubwa? Si mmesoma mpaka hamtaki kuandika majina yenu bila kutanguliza neno ''injinia'' mbele ya jina? Kinachowashinda ni nini mnabadi kulalama lalama? Au mnafikiri usomi ni kutanguliza neno ''injinia'' kwenye majina yenu!!!
.

KUNA Engineering Na Engineer. Engineering ni Fani ya Darasani Na Engineer ni Mtu nadhani umeelewa. Engineer ni uwezo wa kitaalam wa Mtu/watu kukusanya mifumo ya kiuchumi Na kiteknolojia Na kuitumia kutafuta suluhu ya matatizo yanayoikumba jamii Yake Leo Na baadae.

Siasa zetu zimetufanya tuwe Na Tabia mbaya sana ya kutukana kila kitu. Wanasiasa Na wafuasi Wao wenye midomo ya kuropoka wanadhani wana kitu Cha kulisukuma taifa mbele ilihali hata uwezo wa kutengeneza kijiko hawana.

Wataalam wengi, wajuzi hasa Wa vyuo vikuu Na penginepo sio wazuri sana wa kuongea majukwani hata kimaandishi. Viongozi wazuri hutoa nafasi pana sana Kwa wataalam wake kutoa suluhisho la matatizo ya kijamii sio kila kitu Mtu anaropoka.

Tusipende kuropoka that's why I hate African politics. Nadhani ifike wakati Wataalam wetu wapewe nafasi kila sekta, sio siasa kuanzia asubuhi Hadi Usiku.

Luna siku niliwahi kufafanua hapa uwezekano wa mfuko wa Sement Kuwa bei ya Chini lakini mijitu kusikia NENO Dr. Slaa ikaingiza Siasa sana hata kuliko ubichi Wa Hoja Kwenye

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/278291-dr-slaa-mfuko-wa-cement-utakuwa-tshs-5-000-ni-kweli-100%25.html

Siasa zetu zinaua kila kitu.. Hatuzijui tuziacheni..!
 
Huyuu kunaa mtuu alimdadavuliaa kwaju juu nayeye akaongezea na google yakee kajaa hapaa akoo na jazibaa paniki uwogaa ndoo maana maelezoo kama hajatulia ivi nilishaa ona bbc swahili cjui ni Mexico ndoo naona waliweka jiji zimaa linaonekana navinavyo fanyika
mambo yana endaa nakubadilikaa na akili nazoo hubadilikaa
 
Nafafanua
kidogo ili sote wachangiaji tuweze kushiriki kwa ufasaha zaidi.

An unidentified flying object, or
UFO, in its most general definition, is any apparent anomaly in
the sky (or near or on the ground, but observed hovering, landing, or
departing into the sky) that is not readily identifiable as any known
object or phenomenon by visual observation and/or use of associated
instrumentation such as
radar. These anomalies
were referred to popularly as
"flying saucers"
or "flying discs" during the late 1940s and early 1950s.

The term "UFO" (or "UFOB") was
officially created in 1953 by the
United
States Air Force
(USAF) to replace the more popular terms because
of the variety of shapes described other than "discs" or "saucers." It
was stated that a "UFOB" was "any airborne object which by performance,
aerodynamic characteristics, or unusual features, does not conform to
any presently known aircraft or missile type, or which cannot be
positively identified as a familiar object." As originally defined, the
term was restricted to those fraction of cases which remained
unidentified after investigation, with USAF interest being for potential
national security reasons and/or "technical aspects." (See
Air
Force Regulation 200-2
.) The term UFO became more widespread
during the 1950s, at first in professional literature, but later in
popular use. UFOs garnered considerable interest during the
Cold War, an era
associated with a heightened concern for national
security.

Various studies have concluded that the
phenomenon does not represent a threat to national security nor does it
contain anything worthy of scientific pursuit (e.g., 1953
CIA
Robertson
Panel
, USAF
Project Blue
Book
, Condon
Committee
). Culturally, the phenomenon has often been associated
withextraterrestrial
life
or government-related
conspiracy
theories
, and has become a popular theme in fiction.


I bet, google is your best friend.
Thanks.
 
Eti anajiita eng. bihagaze si muha huyu. tangu lini muha akawa engineer. Kwetu bihagaze ni kuku aliyechinjwa na mtoto mkorofi
 
Eti anajiita eng. bihagaze si muha huyu. tangu lini muha akawa engineer. Kwetu bihagaze ni kuku aliyechinjwa na mtoto mkorofi

Hajiiti Engineer bali taaluma yake inamtambulisha hivyo. Upendi saga chupa ubwie.

Kabila yake na taaluma yake vinahusiana vipi? Pimbi kabisa wewe.
 
Hajiiti Engineer bali taaluma yake inamtambulisha hivyo. Upendi saga chupa ubwie.

Kabila yake na taaluma yake vinahusiana vipi? Pimbi kabisa wewe.

Ungejua muha ni mtani wangu nambari wani kama ccm na CHADEMA ungekaa pembeni
 
Mwalimu mzuri ni yule ambaye baada ya kuwasilisha somo lake wanafunzi wake watalipuka na maswali mengi ya kudadisi au kujua zaidi, maana wamemuelewa. Jamani tujitahidi kuweka mawazo yetu kwa njia ambayo wengi wataelewa kwa urahisi na haraka, nina hakika si wote wanajua maana ya UFO,DHCS n.k[h=2][/h]
 
^^
Ni taarifa nzuri ya kitaaluma ambayo inatupa habari kuwa wenzetu wako mbali sana! Na daima tutabaki kuwa wa mwisho. Hata hivyo na sisi tumewazidi kidogo,tunarogana,tunauana kwa tindikali,tunashinda juani kuwatazama wanasiasa wakiuza maneno kwa gharama ya maisha yetu!
Poor Africa. Asante sana
Eng .Y. Bihagaze
binafsi nimenufaika
^^
 
Last edited by a moderator:
Huyuu kunaa mtuu alimdadavuliaa kwaju juu nayeye akaongezea na google yakee kajaa hapaa akoo na jazibaa paniki uwogaa ndoo maana maelezoo kama hajatulia ivi nilishaa ona bbc swahili cjui ni Mexico ndoo naona waliweka jiji zimaa linaonekana navinavyo fanyika
mambo yana endaa nakubadilikaa na akili nazoo hubadilikaa

Ndio faida yakutumia simu ya touch
 
Mwalimu mzuri ni yule ambaye baada ya kuwasilisha somo lake wanafunzi wake watalipuka na maswali mengi ya kudadisi au kujua zaidi, maana wamemuelewa. Jamani tujitahidi kuweka mawazo yetu kwa njia ambayo wengi wataelewa kwa urahisi na haraka, nina hakika si wote wanajua maana ya UFO,DHCS n.k[h=2][/h]
.
Watu wengi tunapenda kujua habari Za Mambo mengi Kwa wepesi au ugumu wake. UFO. Kwenye ulimwengu Wa miongo michache iliyopita DUNIA ilishuhudia ujio wa vitu vya Angani visivyo kuwa Na Tafsiri Kwenye kamera Za Kiusalama. Vitu hivyo (objects) vimekuwa Sababu ya baadhi ya dalili Za Tishio Kwa Ulimwengu wetu huu.

Lakini uoga hasa wa Mataifa yanayojiita Yenye Nguvu Na of-course wana power ni kujihadhari Na Ujio wa viumbe kutoka Sayari nyingine (Allien) ambao wanasadikika Kuwa Na uwezo Mkubwa wa kiteknolojia kuliko akili Zetu Za Duniani.

Wataalam Wa mataifa yaliyosonga Mbele wakawekeza tafiti kubwa kung'amua This Unidentified Flying Objects, Na kuzitafsiri endapo zinatokana Na shughuli Za kidunia(factory or industrial wast matters) , au ni silaha mpya Za kigaidi Na pengine kugundua endapo ni mabaki ya Kazi kutoka sayari nyingine.

Wanasema Kule Boston Karne ya 16 alipotokea alien wa kwanza alileta madhara makubwa yaliyotokana Na kutojiandaa.. Na Baadae alien mwingine alipokanyaga Ardhi ya wamarekani alizalisha Frquency above 70Hz iliyozidi kaniuwezo wa mashine Za kuzalisha umeme ambao standard ni Kwenye mawimbi (frequency) ya 50Hz Na ikizidi sana 60Hz, so <70Hz load mashine zikazima Na mji ukawa kiza.

Tunasema Kwamba audio SUN frequency ambayo ni 126.22Hz can be attained. Unajua mtoto anapozaliwa hutoa sauti inayopimwa kwA mawimbi ya 432Hz. Kama kuna Mtu anayeweza kutoa mawimbi plus or minus 0.005 ya 126.22Hz anaweza kulichallange Jua likapoteza mwanga wake.. This fact is true.
 
Eti anajiita eng. bihagaze si muha huyu. tangu lini muha akawa engineer. Kwetu bihagaze ni kuku aliyechinjwa na mtoto mkorofi
watan wetu ni wale tuliowapiga vitani au tuliwasaidia vitani-sijui wewe ni wapande ipi
 
.
Watu wengi tunapenda kujua habari Za Mambo mengi Kwa wepesi au ugumu wake. UFO. Kwenye ulimwengu Wa miongo michache iliyopita DUNIA ilishuhudia ujio wa vitu vya Angani visivyo kuwa Na Tafsiri Kwenye kamera Za Kiusalama. Vitu hivyo (objects) vimekuwa Sababu ya baadhi ya dalili Za Tishio Kwa Ulimwengu wetu huu.

Lakini uoga hasa wa Mataifa yanayojiita Yenye Nguvu Na of-course wana power ni kujihadhari Na Ujio wa viumbe kutoka Sayari nyingine (Allien) ambao wanasadikika Kuwa Na uwezo Mkubwa wa kiteknolojia kuliko akili Zetu Za Duniani.

Wataalam Wa mataifa yaliyosonga Mbele wakawekeza tafiti kubwa kung'amua This Unidentified Flying Objects, Na kuzitafsiri endapo zinatokana Na shughuli Za kidunia(factory or industrial wast matters) , au ni silaha mpya Za kigaidi Na pengine kugundua endapo ni mabaki ya Kazi kutoka sayari nyingine.

Wanasema Kule Boston Karne ya 16 alipotokea alien wa kwanza alileta madhara makubwa yaliyotokana Na kutojiandaa.. Na Baadae alien mwingine alipokanyaga Ardhi ya wamarekani alizalisha Frquency above 70Hz iliyozidi kaniuwezo wa mashine Za kuzalisha umeme ambao standard ni Kwenye mawimbi (frequency) ya 50Hz Na ikizidi sana 60Hz, so <70Hz load mashine zikazima Na mji ukawa kiza.

Tunasema Kwamba audio SUN frequency ambayo ni 126.22Hz can be attained. Unajua mtoto anapozaliwa hutoa sauti inayopimwa kwA mawimbi ya 432Hz. Kama kuna Mtu anayeweza kutoa mawimbi plus or minus 0.005 ya 126.22Hz anaweza kulichallange Jua likapoteza mwanga wake.. This fact is true.

Yani ukishusha material kama haya vibaja wote waliovamia JF wanapita mbio kama hawaioni hii thread. Wao wanachojuwa ni mipasho tu wakiongozwa na Ritz ZeMarcopolo sixgeat The Big choo Boko haram and likes.
 
Last edited by a moderator:
Tafuta kitabu cha
James Hadley Chase kinaitwa Dooms Day Conspiracy, ni simulizi lakini
page kumi za mwisho kafanya epiologue inayoelezea Habari za UFO vizuri
sana, namna serikali kubwa zinavyoficha uwepo wa aliens na UFO kwa
kuhofia kuzusha hofu kwa raia. Inshort, kuna viumbe wanaoishi nje ya
dunia ambao wana technolojia kubwa kuliko ya kwetu.. kinachotokea mara
kwa mara vyombo vyao anga vinakuja duniani na inasemekana moja ya jamii
za aliens chombo chao kilidondoka kwenye mashamba mexico, wakulima
waliokiona mwanzoni walisema waliona watu wenye sura za mviringo wakiwa
na rangi ya kijani. Baada ya muda ndege ya kijeshi marekani ikatua na
wanasayansi moja kwa moja wakabeba na kuvipeleka makao makuu ya NASA.
Wanasayansi watano walioshughulia wale viumbe walifanikiwa kugundua
lugha yao, mmoja wao akajaribu kuivujisha siri kwa vyombo vya habari
baada ya hapo haikujulikana hao wanasayansi wamepotelea wapi. Urusi,
Marekani, China, Uingereza na Japan wana hofu Aliens wakipata access
hapa duniani itakuwa ndio mwisho wa ustaarabu wa mwanadamu ndio maana
wanajitahidi sana ku-crack technology yao ili itakapotokea invasion
yoyote tuwe tayari. Lakini all in all kuna siku lazima kitawaka, nna
hamu sana ile ngoma iliyosimuliwa na James Cameron kwenye Avatar iwe
kweli.

Hadithi za kufikirika hizi.
 
Back
Top Bottom