Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TBC wataonesha mechi 28 tuDstv washakua wahuni jamani tusaidiane channel zitakazo rusha WC nje na 222-227. WC hta tbc huwa wanarusha
TBC wataonesha mechi 28 tu
Asante sana, bora hata ZBCQuality ya tbc ndo tatizo[emoji23][emoji23]
TBC messi anaonekana kama babu kaju sure boy[emoji23][emoji23][emoji23]Quality ya tbc ndo tatizo[emoji23][emoji23]
Wamesema tusiwe na wasi wasi quality itakuwa bora [emoji23]TBC messi anaonekana kama babu kaju sure boy[emoji23][emoji23][emoji23]
Beyern wamekataa wanamtaka abaki atibiwe pale pale ujeruman na sio waganga wa senegSAĎIO lazima awepo kwenye kikosi kocha msaidizi wq bayern alisema jeraha alilopata siyo kubwa sana kwa siku zilizobaki akitumia miti shamba yetu mbona mapema tu anakuwepo
Hata hapa kwetu kunywa pombe tu mambo ya ushoga NO mambo ya kupigana mabusu hadharani utaonekana kituko tu wala sio mila zetuWenyeji Qatar wamepiga marufuku mambo kadhaa yafuatayo yasifanyike hadharani kwani ni kinyume na tamaduni zao;
Unywaji wa pombe hadharani
Mapenzi ya jinsia moja
Kupigana mabusu hadharani
Serious ipi?Ureno wapo siriaz na kaziView attachment 2412745
Ndani ya hizi siku mbili mzigo utakuwa tayariGreatest Of All Time hivi squad ya Argentina bado haijatangazwa?
Kalvin Philips wa Man City kacheza mechi moja tu lkn kaitwaJamani ata smalling hajaitwa wakati anacheza kila game kule roma anaitwa maguire
Nakumbuka mziki wao huko urusiKikosi cha CroatiaView attachment 2411489