Simu hizi wanafuatilia mpira hao balaaa tena uwe na mke kama Kalpana huwezi mdanganya kitu.Hahahaha muda wa kudanganya mechi zinaisha saa 8 usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu hizi wanafuatilia mpira hao balaaa tena uwe na mke kama Kalpana huwezi mdanganya kitu.Hahahaha muda wa kudanganya mechi zinaisha saa 8 usiku
ni jambo ambalo haliwezekani?Are u high on drugs?
Wapi Hakim Ziyech?
Haiwezekani bwana kwa timu gani tulizonazo bwana? Hapa matumaini yapo kwa senegal tuu.ni jambo ambalo haliwezekani?
Wa kwanza kabisa kwenye orodha ya washambuliajiWapi Hakim Ziyech?
uchambuzi mzuri. Tunis wako vizuriHaiwezekani bwana kwa timu gani tulizonazo bwana? Hapa matumaini yapo kwa senegal tuu.
Tunisia sijui cameroun hamna kitu. Kwanza cameroun vimbwanga vilishaanza kocha msaidi kaomba kazi ya zambia national team
Duh watu wanapenda faboWorld Cup Village - hiki ni kijiji maalum kwa ajili ya mashabiki hapo Qatar ambapo kitakuwa kinalaza mashabiki watakaopenda kulala hapo maana kuna sehemu nyingine kama hoteli.
Kijiji hiko kimejengwa kwa makontena na kina vyumba takribani 6,000 (elfu sita).
Kulala hapo kwa usiku mmoja ni US Dollar 200 sawa na Shilingi za Kitanzania 466,400 kwa usiku mmoja tu.
Na tayari vyumba vyote elfu 6 vya kijiji hiko vipo booked (vimejaa)
View attachment 2413638View attachment 2413639.
Chama langu France naona liko poa.Kikosi cha View attachment 2411865Ufaransa
Chama langu hili hadi final[emoji122][emoji122][emoji122]Hili hapa team la ushindi...ArgentinaView attachment 2413645
Pamoja sana kakaMkuu upo vizuri kwa uchambuzi
Mmeshaanza chokochokoArgentina kapewa kundi jepesi...!
Ngoja tutunze risitiTunisia , Ghana na morroco zikitoboa kwenye makundi yao
mniite mbwa nmekaa palee varandani
Ghana na Tunisia zitafurumushwa virago mapema kabisa.( Very dangerous groups)
Senegal akikaza sana ataweza kuishia robo
Cameroon tusubiri kikosi
Sent using Jamii Forums mobile app