Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Wee uzuri wako sii unakuwa upo busy na simba yako....leo vipi ihefu anatoka
Aaaah lazima bwana tukitoa droo tena leo basi ntapumzika humu jukwaani kwa muda wa mwezi hivi. Niendelee na ishu zingine
 
Serbia hawa hapa
B5CCE77E-CFA6-417D-9F36-DC7AC5B179C7.jpeg
 
World Cup Village - hiki ni kijiji maalum kwa ajili ya mashabiki hapo Qatar ambapo kitakuwa kinalaza mashabiki watakaopenda kulala hapo maana kuna sehemu nyingine kama hoteli.

Kijiji hiko kimejengwa kwa makontena na kina vyumba takribani 6,000 (elfu sita).

Kulala hapo kwa usiku mmoja ni US Dollar 200 sawa na Shilingi za Kitanzania 466,400 kwa usiku mmoja tu.

Na tayari vyumba vyote elfu 6 vya kijiji hiko vipo booked (vimejaa)
View attachment 2413638View attachment 2413639.
hawa machinga wetu wanaohangaika mitaani hatuwezi kuwajengea kitu kama hichi kweli ili jioni wakifunga panakua na madhari nzuri..........

aisee kila kitu kinahitaji ubunifu
 
Sio mpenzi Sana wa Mpira kwa na michezo kwa ujumla Ila hatuachi kupongeza wadau wa michezo kwa kua michezo huwakutanisha watu kwa umoja furaha na amani.

Niwatakie michuano mema timu zote shiriki na atakae fuzu natanguliza pongezi kwake.
 
Back
Top Bottom