Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vina Ac vitakua hivyo maana si kwa joto la hayo makontenaWorld Cup Village - hiki ni kijiji maalum kwa ajili ya mashabiki hapo Qatar ambapo kitakuwa kinalaza mashabiki watakaopenda kulala hapo maana kuna sehemu nyingine kama hoteli.
Kijiji hiko kimejengwa kwa makontena na kina vyumba takribani 6,000 (elfu sita).
Kulala hapo kwa usiku mmoja ni US Dollar 200 sawa na Shilingi za Kitanzania 466,400 kwa usiku mmoja tu.
Na tayari vyumba vyote elfu 6 vya kijiji hiko vipo booked (vimejaa)
View attachment 2413638View attachment 2413639.
Wee mumeo kazi anayo...hawezi chepuka hii world cup 🤣🤣🤣🤣Wacha bwana hujakosea mzabzab 😀 😀 😀
Tuko tyr kupambana kwa jasho na damu.. Asee kitaeleweka hata kwa kufia uwanjan ndoo tunarud nayo nyumbani. [emoji1033]Hili hapa team la ushindi...ArgentinaView attachment 2413645
Watu wa cr7 ni wa ovyo sana.. Kundi jepes utafikir walikua wanagawa kama Pipi anayetak tuMmeshaanza chokochoko
Vipo kisasa zaidiVina Ac vitakua hivyo maana si kwa joto la hayo makontena
TBC messi anaonekana kama babu kaju sure boy[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha muda wa kudanganya mechi zinaisha saa 8 usiku
Hii issue ya Saido Mane haita leta mgogoro kati ya Bayern Munich na Senegal?
Sakho yumo?Timu Brazil mpooo? Toka nakua naipendaga sana hii nchi kwenye kombe la dunia.
Africa nashabikia Senegal
🤣🤣🤣Falsafa za timu mbalimbali world cupView attachment 2413631
Senegal wameshaamua bayern watulie tu ata mane mwenyewe awezi kuwasillza bayern akawaacha senegalClub ndo ina maslah na mchezaji senegal watulie tu
Teh Teh OKW BOBAN SUNZUAliye zungushiwa ni mzungu wa simbaView attachment 2413512
Drible till you dieFalsafa za timu mbalimbali world cupView attachment 2413631
Tupo ila unanikera kwa kuwa wewe ni KolokwinyoTimu Brazil mpooo? Toka nakua naipendaga sana hii nchi kwenye kombe la dunia.
Africa nashabikia Senegal
Anaweza chepuka tuu akiamua anaweza sema ngoja niende kwa mshakaji tulipangiana dau mechi hii anipe bia kama timu yake itafungwa so lazima tuwe pamoja. 😀 😀 wanaume nyie kwani mnashindwa jambo?Wee mumeo kazi anayo...hawezi chepuka hii world cup 🤣🤣🤣🤣
Endelea kukereka mkuu. Huku tupo kwenye kombe la dunia mambo yako kitopolonyo yaache huko huko.
Sijui hebu google kikosi chao hapo chapuSakho yumo?
Wee uzuri wako sii unakuwa upo busy na simba yako....leo vipi ihefu anatokaAnaweza chepuka tuu akiamua anaweza sema ngoja niende kwa mshakaji tulipangiana dau mechi hii anipe bia kama timu yake itafungwa so lazima tuwe pamoja. 😀 😀 wanaume nyie kwani mnashindwa jambo?