Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mara paap Morocco inatinga fainali [emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173][emoji1173]
AMBATANISHA NA HII KAULI JAPO MPIRA NI DAKIKA 90...[emoji116]

"Nina wasiwasi na matokeo ya leo hii yanaweza kuishangaza dunia [emoji28]"
 
We dada vana, mbona mashemeji wamekua wengi sana. Mbappe baby wako, Hakim baby wako, Neymar baby wako, Thiago Silva baby wako. Kwanini lakini?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kila team na babes wake

England badae kuna baby Mount
Ila nitakuwa kwa baby Mbappe


Dylie Giroud Mbappe Le Greazgirl
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…