Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Wengi zaidi hawaelewi ureno kafikaje anzia na ile mechi ya Ghana refa kukataa kwenda kwenye var penalty za mchongo za ureno..
Jamaa yenu analilia goli la watu..

Viongozi gani hao walikuwa wanalaumu zaidi ya wajomba zake kina figo wale ambao walianza kulaumu baada ya kufungwa na hao waarabu mbona basi zile 6 na uswisi ronaldo akiwa nje hawakulaumu?

Ameachwa sababu ya tabia mbovu na kiwango kushuka, mtu huna kiwango afu unaleta maringo
Yaani demu huna chura afu unaringa?
 
Hahahah nimependa hapo kwenye demu kukosa chura 🤣🤣🤣🤣
 
Refa kwenda kuangalia VAR sio muhimu mpaka pale tukio linapokuwa controversial zaidi

Refa anaweza fanya mawasiliano na referee waliopo kwenye control room na waokwakua wanaangalia yale matukio kupitia VAR wanaweza kumuambia kuwa tukio hilo sio faulo na yeye asiwe na haja tena ya kwenda kwenye VAR

Argentina ndio tunaweza kuizungumzia kwenye maswala ya kupendelewa, Messi kapewa penati 3 na bado yule Refer aliyekuwa anazozana naye tayari katimuliwa
 
Sio kutimuliwa hebu wqzia
Mechi zilizobaki kama sita tu na marefa walishapangwa yeye hayupo hajapangwa sasa unabaki unafanyaje?

Alikuwa mwamuzi mbovu card 15 za njano kwenye mechi moja kweli?
 
Yule refa kimeo sana
Alipendelea waholanzi live live
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…