Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Haizuii ukweli kuwa limendy ni takataka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mmewaponza Senegal [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ila waafrica Kila kitu tunaamini kweny nguvu ona Leo sehemu ya kiungo Senegal walikua na koyaute,Idris gueya,Mendy lakini Netherlands dejong tu alitosha kuwafundisha mpira dogo ananyumbulika anavuotaka yey
 
mzabzab unataka kuleta mapenzi kwenye mpira jamani!
Hivi vitu huwa haviendani mapenzi tuyaache kwanza tusije tukatia nuksi kwenye timu zetu pendwa.
Kwanza aliyeleta story za malenzi ni Nakadori kwa kesema kiwa senegalese men ni tdh bongo sie miyeyusho.
Wee bwana nuksi gani. Sie hatujui tuu tukubali hilo kila kitu jibu letu mipango ya mungu. Basi tukubali pia waafrica kuwa mdebwedo kwenye mpira ni mipango ya mungu.

Huwezi tenganisha mpira na kugegedana mzeya. Wee nenda kaangalie kila mwaka nchi inayoshinda kombe la dunia, miezi tisa baadae kunakuwa na bby boom🤣🤣🤣🤣

Wee subiria siku tz tunaqualify world cup lazima wadada wawe na vitumbo
 
Kwanza aliyeleta story za malenzi ni Nakadori kwa kesema kiwa senegalese men ni tdh bongo sie miyeyusho.
Wee bwana nuksi gani. Sie hatujui tuu tukubali hilo kila kitu jibu letu mipango ya mungu. Basi tukubali pia waafrica kuwa mdebwedo kwenye mpira ni mipango ya mungu.

Huwezi tenganisha mpira na kugegedana mzeya. Wee nenda kaangalie kila mwaka nchi inayoshinda kombe la dunia, miezi tisa baadae kunakuwa na bby boom🤣🤣🤣🤣

Wee subiria siku tz tunaqualify world cup lazima wadada wawe na vitumbo
Mwambie kazi na dawa
Ila hapo hapakuwa na haja ya kunitaja mzabzab ni kama umeniuzia kesi 🤣
 
Back
Top Bottom