Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sasa England utamfananisha na Morrocco?

Mechi ya kesho ni zamu yetu kufurahi
 
Argentina wanameamua washambulie kwa matukio maalumu, yaani wanawaacha Croatia wacheze..!

Almanusura ni chuma cha 4 kiingie kambani.
 
Hvi wale Saudi Arabia kilitokea nn cku ile?
Mpira uliochezwa na Saudia ile siku hakuna team imecheza.
Ile ilikuwa ni hatari...walikua kutengeneza offiside na kukimbia haswa wanakuja kama Nyuki
Watu wote wanaocheza na Argentina hawako serious...

Tuseme ukweli Argentina wamekaa kizembe ukiwaangalia kwa haraka.
 
Hapa aliyebaki wa kumtoa Argentina kwa sasa ni France tu, hata kama mpira una masjabu ikatokea Morrocco amepita ila sioni kama ataweza kumfunga Argentina

Team Pessi wanasumbua sana, haya yote kayataka Croatia
Huyo France kama atapita kesho lazima ajipange hasa eneo lake la viungo wa kati hapo ana tatizo ,nadhani wana-wamiss Pogba na Kante.
Victoire
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…