Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sasa England utamfananisha na Morrocco?Duh kwa jinsi waingereza walivoipeleka France sidhani kama wana ubora huo
Labda wangekuwa na Kante na Pogba
Ila hii Argentina wana Messi na wachezaj 10 wengine ndo shida inaanzia apo
Na jinsi kila mechi wanapewa penalty
Namuona Upemecano au Hernandez ( vichwa vyao havijatulia hawa watu)wakitoa penalty laini kabisa kama wakikutana fainali!
Game inaeza kuisha mapema sana
Bora Morocco watawatoa jasho kidogo
Mechi ya kesho ni zamu yetu kufurahi