Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Pamoja na kipaji kikubwa alichobarikiwa ila jamaa anajituma sana uwanjani.

Miaka Ile ya 2008-2012 alitunyanyasa Sana mashakibi wa Arsenal (level za Vilabu) kuwageuza mabeki zetu kadri alivyopenda
Teh teh 😂😂 hata Madrid ya kina Pepe, Ramos ilipata tabu mno.....huyu jamaa kautendea haki mpira wa miguu.
 
729F9EE4-31A7-46E0-9E05-7B3148792C2F.jpeg
 
Back
Top Bottom