Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sisi Waarabu wa Morocco tuna milima miwili ambayo sidhani kama tutaiweza hata kama mpira unadunda.. Yaani tumtoe France halafu tuje kumtoa Argentina.

Walah Kazi Tunayo kuwa Bingwa..!
Acha kutuchungulia Mashabiki wa Morocco.
Hakuna mlima wowote hapo.
Morocco ndio bingwa
 
Hee! Na nyie wa hivi mpo kwenye huu uzi?
 
Maria.... tatizo sio mchezo wenyewe ila yanayoambata na mchezo....

Ukiuhukumu mchezo ina maana hao wachezaji nao wanatenda dhambi kucheza mpira, unakosea maana michezo haijakatazwa kwenye dini

Dhambi ni hayo ya kando ila mchezo hauna tatizo lolote.
 

Much love to you mate🤍[emoji171]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…