Croatia wangecheza kama Morrocco mlikuwa mnakufaMtanange wa jumapili utakuwa si wa kitoto, Argentina watapambana kufa na kupona kufuta makosa ya nyuma.
France nao mabingwa watetezi hawatotaka kupoteza hilo taji.
Utakuwa mpira wa nguvu sana, maana atakayewahi kufunga tu. Amewadhoofisha timu pinzani.
Miye na moyo mdogo, panapo uzima nitakuwa nachungulia tu sitatizama full. Sina huo moyo 😪
Amka utajikojolea MkuuMimi nipo Qatar nasubiria j2 nikiwashe pale nichukue taji langu...... Nyie mshafika Ureno? Au mnaenda wapi? Maana hata timu ya kwenda hamna ...na hakuna timu inataka wapasha benchi saivi[emoji23]
Ningesema 3 ungesema anayo. Ila jua miguu yake akicheza ni kama ana 4Kama ni mfano ni tofauti na uhalisia [emoji1732][emoji1]
Ni kutafuta sababu tu na kuipata. Hujawahi kumkubali Messi. Stay in your lane brother.Hiyu jamaa nilikuwa namuelewa sana kwa ishu ya nidhamu
Mwanzo nilipokuwa naziona hizi picha nilijua ni picha zakutengenezwa tu, lakini kumbe haikuwa hivyo
Hiki kitendo ni cha kijinga sana kulingana na ambavyo nilivyokuwa namfikiria
Messi alipiga penati ambayo tayari kulikuwa na mchezaji ambaye alikuwa katanguliza mguu ndani ya boxZikwapi statistics za Messi mbeleko wenu wa penalties tuziambatanishe na penati za mchezaji yeyote tangu kuumbwa kwa kombe la dunia [emoji848]
CR 7 ni Jeshi la Mtu mmoja, ndiyomaana kuna kipindi Neymar, Suarez na Messi walikuwa wanamchangia kung'ang'ania tu kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora wa La Liga [emoji38]
So nawewe unaamini kuwa Argentina amebebwa?Croatia wangecheza kama Morrocco mlikuwa mnakufa
Ile penati iliwasaidia sana kuwafanga watoke mchezoni
😂😂..kwani kukaa benchi ni kosa la kinidhamu au upungufu wa kiwango mkuu?Hiyu jamaa nilikuwa namuelewa sana kwa ishu ya nidhamu
Mwanzo nilipokuwa naziona hizi picha nilijua ni picha zakutengenezwa tu, lakini kumbe haikuwa hivyo
Hiki kitendo ni cha kijinga sana kulingana na ambavyo nilivyokuwa namfikiria
Na kelele zao mwisho juma2.Baada ya bwana Ronaldo kutoka ilibidi watafute mbadala wa kupambana na Messi.
Nazungumzia tukio la Messi kuonesha ishara ya dhihaka😂😂..kwani kukaa benchi ni kosa la kinidhamu au upungufu wa kiwango mkuu?
Kabla ya kumlinganisha na yeyote yule, tunamlinganisha na jeshi la penati. Kweli hili ni jeshi la mtu mmoja.Zikwapi statistics za Messi mbeleko wenu wa penalties tuziambatanishe na penati za mchezaji yeyote tangu kuumbwa kwa kombe la dunia [emoji848]
CR 7 ni Jeshi la Mtu mmoja, ndiyomaana kuna kipindi Neymar, Suarez na Messi walikuwa wanamchangia kung'ang'ania tu kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora wa La Liga [emoji38]
Nasema karma is real, hao kenge waliopoteza vinasaba vya weusi wenzetu nchini kwao sababu ya ubaguzi wa rangi wapigwe tu.Mtanange wa jumapili utakuwa si wa kitoto, Argentina watapambana kufa na kupona kufuta makosa ya nyuma.
France nao mabingwa watetezi hawatotaka kupoteza hilo taji.
Utakuwa mpira wa nguvu sana, maana atakayewahi kufunga tu. Amewadhoofisha timu pinzani.
Miye na moyo mdogo, panapo uzima nitakuwa nachungulia tu sitatizama full. Sina huo moyo [emoji25]
Nipe sababu za kutoamini kinyume chake?So nawewe unaamini kuwa Argentina amebebwa?
Argentina ama Messi kuna kitu gani special, mpaka wabebwe?Nipe sababu za kutoamini kinyume chake?
Mahabuba wa Messi watapinga sababu tu ya ujinga mwingi vichwani tokana na mahaba niuwe juu ya Messi wao [emoji16][emoji2960]Messi alipiga penati ambayo tayati kulikuwa na mchezaji ambaye alikuwa katanguliza mguu ndani ya box
Na kisheria ilipaswa irudiwe ila kwasababu alipata na ye ndio mchezaji pendwa haikurudiwa
Dah umenikumbusha mbali kipindi kile.Zikwapi statistics za Messi mbeleko wenu wa penalties tuziambatanishe na penati za mchezaji yeyote tangu kuumbwa kwa kombe la dunia [emoji848]
CR 7 ni Jeshi la Mtu mmoja, ndiyomaana kuna kipindi Neymar, Suarez na Messi walikuwa wanamchangia kung'ang'ania tu kiatu cha dhahabu cha mfungaji bora wa La Liga [emoji38]
Hiyo ni dhihaka kivipi mkuu?Nazungumzia tukio la Messi kuonesha ishara ya dhihaka
Washabeba mara mbili. Karma iliwasahau?Nasema karma is real, hao kenge waliopoteza vinasaba vya weusi wenzetu nchini kwao sababu ya ubaguzi wa rangi wapigwe tu.
Good lucky France towards winning the world cup final 2022 [emoji120][emoji119][emoji123][emoji106]
Mbona hakuna all total matches played?Kabla ya kumlinganisha na yeyote yule, tunamlinganisha na jeshi la penati. Kweli hili ni jeshi la mtu mmoja.View attachment 2447147
😂😂...Mi nawakumbusha tu mlipotoka ili mjue mnakoenda.Amka utajikojolea Mkuu
Leo ilikuwa inacheza Ufaransa.
Tupo Paris,unaongelea Ureno
Inaonyesha jinsi gani ulivyo booonge la mweeeh
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app