Merry Christmas in Advance bhana[emoji28]Khaaaa[emoji1787][emoji1787]
Siipokei kwa namna hiyo! Huwezi kuniambia kirahisi namna hiyo..Merry Christmas in Advance bhana[emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siipokei kwa namna hiyo! Huwezi kuniambia kirahisi namna hiyo..
Yani chuki ni kubwa sana na ndo maana kutokea ile mechi ya saudi Mungu akapindua meza.Watu mnamchukia messi kuliko mfano...ombeni na nyie mpate japo nusu ya kismati chake mpendwe kama hivi aisee..kama sheria zote za FIFA zinapindishwa kwa ajili ya mtu mmoja tuu Messi basi hii sio jambo dogo...muwaombee hata mwana ukoo wako mmoja apate hii kengekewa ukishindwa ww..
Unatumia nguvu sana kuwaaminisha watu ndoto zako hadi wafaransa wenyewe wanakushangaaMaajentina ya buza na Tandika kwa mpalange mujiandae kisaikolojia. Kama tulivyompasua ajentina kombe la dunia lilopita basi na hili anapasuka sisi hatunaga cha dakika 120
Mrembo umenifurahisha sanaHe he he.....
"You either win with US or you watch US win....
[emoji1033] for life Brw!!!!
Watakimbia kweliiWalisema Argentina havuki makundi licha ya kufungwa lkn kaongoza kundi, wakasema havuki 16th kavuka, wakaja quarter Argentina akavuka wakaja semi kapita. Sahivi wamekuja na slogan yao kwamba Argentina anabebwa unabaki unajiuliza kama anabebwa mbona game ya Saudia alifungwa na goli 3 zilikataliwa?? Mechi na Netherland ziliongezwa dk10 ambayo ilizaa goli la2 kwa Netherlands kama anabebwa si wangeongeza dk3 tu??.
Hawa ndo mashabiki wa JF wamekosa hoja wanaleta vihoja wengi humu wapiga kelele ni mashabiki wa Brazil, Portugal wanamwombea njaa Messi wanahangaika sana mara huku mara kule, mtu kashabikia Saudia, Mexico, Poland, Australia, Netherlands, Croatia now wako France [emoji23][emoji23][emoji119].
Mpira ungekuaga maneno Brazili, Portugal, Spain wangekua Final. Hawa wanaopiga kelele ndo wale waliokua wanasema Brazil atakua bingwa. Jumapili huu uzi kuna watu wataukimbia asee na hatutaona ID zao tena.
Duh [emoji1787]Mechi ya Derby huko Zambia kati ya Zesco na Rangers ilisimama kwa dakika 30
View attachment 2447293View attachment 2447294View attachment 2447295View attachment 2447296
As usualFurance tuna jambo letu apo Jumapili.
Karibu Naka....Mrembo umenifurahisha sana
Vamossssssss
Arsenal sasahivi hachagui, kila mwanamke anayekutana naye, anamtia mimbaSio Arsenal ?
Mkuu hio paragraph ya kwanza tu umemaliza! Hawa watazamaji wa mpira wa LIVESCORE wala hutakiwi kuwaeleza sana kuna msemo unasema" Arguing with a fool is the easiest way to become one".
Brazil tayari alishachukua back to back wakiwa na Pele labda kwa karne hii France watakuwa wa kwanzaMessi na Argentina yake wanawekwa kimoja tu cha mkwezi na watatulia. Ufaransa nadhani itakuwa timu ya kwanza kuchukua WC back to back!
Taadifa tu rahisi kama hii hauna halafu unakuja kuchambua mpira jfUfaransa nadhani itakuwa timu ya kwanza kuchukua WC back to back!
π¦π·π¦π·π¦π·π¦π·π¦π·Karibu Naka....
Vamossssss
Shangaa na weweTaadifa tu rahisi kama hii hauna halafu unakuja kuchambua mpira jf
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Mechi ya Derby huko Zambia kati ya Zesco na Rangers ilisimama kwa dakika 30
View attachment 2447293View attachment 2447294View attachment 2447295View attachment 2447296