Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Watu mnamchukia messi kuliko mfano...ombeni na nyie mpate japo nusu ya kismati chake mpendwe kama hivi aisee..kama sheria zote za FIFA zinapindishwa kwa ajili ya mtu mmoja tuu Messi basi hii sio jambo dogo...muwaombee hata mwana ukoo wako mmoja apate hii kengekewa ukishindwa ww..
Yani chuki ni kubwa sana na ndo maana kutokea ile mechi ya saudi Mungu akapindua meza.
Jumapili kuna watu watapoteana hapa na tekno zao
 
Walisema Argentina havuki makundi licha ya kufungwa lkn kaongoza kundi, wakasema havuki 16th kavuka, wakaja quarter Argentina akavuka wakaja semi kapita. Sahivi wamekuja na slogan yao kwamba Argentina anabebwa unabaki unajiuliza kama anabebwa mbona game ya Saudia alifungwa na goli 3 zilikataliwa?? Mechi na Netherland ziliongezwa dk10 ambayo ilizaa goli la2 kwa Netherlands kama anabebwa si wangeongeza dk3 tu??.

Hawa ndo mashabiki wa JF wamekosa hoja wanaleta vihoja wengi humu wapiga kelele ni mashabiki wa Brazil, Portugal wanamwombea njaa Messi wanahangaika sana mara huku mara kule, mtu kashabikia Saudia, Mexico, Poland, Australia, Netherlands, Croatia now wako France [emoji23][emoji23][emoji119].

Mpira ungekuaga maneno Brazili, Portugal, Spain wangekua Final. Hawa wanaopiga kelele ndo wale waliokua wanasema Brazil atakua bingwa. Jumapili huu uzi kuna watu wataukimbia asee na hatutaona ID zao tena.
Watakimbia kwelii
Wanaongea utopolo tuu
Mara kubebwa
Mara mbappe atamkimbiza Messi as if muda huo huyo Messi yeye atakuwa amesimama tu
Ngoja waendelee kuhama team sijui jumapili wakifungwa watahamia team gani
 
France hatuna muda wa kubwabwaja.
Kubwabwaja sana domo ni Sifa za watu wafupi



Sisi kazi yetu iliyobakia ni Moja tu!
Kunyanyua kwapa.

France,Bingwa Mtetezi na Mteule[emoji91]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Napigia mstari hapo kwa watazamaji wa livescore. Ni wasumbufu sana
Mkuu hio paragraph ya kwanza tu umemaliza! Hawa watazamaji wa mpira wa LIVESCORE wala hutakiwi kuwaeleza sana kuna msemo unasema" Arguing with a fool is the easiest way to become one".
 
Messi na Argentina yake wanawekwa kimoja tu cha mkwezi na watatulia. Ufaransa nadhani itakuwa timu ya kwanza kuchukua WC back to back!
Brazil tayari alishachukua back to back wakiwa na Pele labda kwa karne hii France watakuwa wa kwanza
 
🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦🇷🇦
Screenshot_2022-12-13-10-28-56.png
images (18).jpeg
images (19).jpeg

It is coming homeeeeee
Argentines tujuaneeeeee mapemaaaaa
Maana tuna kikao chetu cha kuwaangamiza team Ronaldo a.k.a team looser
Mbappe nakupenda sana na wewe unajua a muda umefika lazima mafuta na maji vitengane
Vamosssssssss
 
Mimi sina maneno mengi
Kwa uchache tu ,huyu ni Muft Ustadh Benzema.
Ni hayo tu.


Wale viberenge tuangalie tu wasije leta mafuriko ya machozi kwenye ardhi ya Mola.
J2 ,na vile watu wafupi walianza kulia huwa hawanyamazi haraka.


Screenshot_20221215-104559.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom