Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sasa wakibeba Argentina u afikiri hali itakuwaje kama tu kufika semi final naskia huko Argentina walikuwa wanapeperusha jezi ya Messi kwenye holicopter

Wakichukua kombe unafikiri huko angani kutakuwaje?
 
Siko upande wenu huo...
Hata 2018 nilikuwa Croatia....

Nawapenda sababu wana Vibe..

Ila WC hii.....Maombi yangu yapo na Messi....
 
Yeah kwa kweli 2018 hata mimi nilikuwa upande wa France tangia mwanzo, na nilikuwa nafuatilia clips zao zote zilizosambaa wakiwa wanashangilia kombe basi hadi raha, ila mwaka huu wakishinda tena naona kama itaboa
Mimi nilikuwa Croatia[emoji28]
Nilipenda tu walivyomuimbia Kantè ule wimbo...
 
Siko upande wenu huo...
Hata 2018 nilikuwa Croatia....

Nawapenda sababu wana Vibe..

Ila WC hii.....Maombi yangu yapo na Messi....
Aisee mbona we una bahati mbaya hivyo kushangilia timu ambazo hazichukui ubingwa?

Messi muombee amalize mechi salama tu bila majeraha pia na kumuomba Mungu amtie moyo katika kipindi kigumu atachokuwa anapitia
 
Messi bana hua kuna kitu ananifurahisha. Kuna mambo yanaweza kutokea watu wakamsema we naona sijui hua anawasikia, ghafla utaona anatafuta mpira akiupata lazima asombe kijiji mita kadhaa hadi kwenye 18 yao
Messi ni habari nyingine yule kiumbe...

Na ile humbleness ako nayo watu wanataka kumlinganisha na vitu visivyoeleweka.
 
Kabla sijaanza kuscream nikaumbuka naomba source[emoji2]. Mana kila saa naenda kuchungulia kwa fabrizio sjaona kaliongelea hili popote
 
Sasa angechezea Cameroon angefika hata 16 bora, kuna wakati inabidi mtu uukane utaifa wako ili upate kinachostahili. Huyu dogo ana nafasi ya kuwa mfungaji bora, anaweza kuchukua kombe la dunia kitu ambacho angekuwa huko Cameroon ingekuwa ndoto tu
Sasa yeye hakutaka kuukana utaifa wake, aliomba kuchezea Cameroon akakataliwa alipoomba kuchezea France ndio akakubaliwa, anyway nafikiri hata Yeye sasa hivi atakuwa anashukuru Cameroon walimkatalia
 
Aisee mbona we una bahati mbaya hivyo kushangilia timu ambazo hazichukui ubingwa?

Messi muombee amalize mechi salama tu bila majeraha pia na kumuomba Mungu amtie moyo katika kipindi kigumu atachokuwa anapitia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha tusubiri tuone Scars....
Ni mapema sana kutukana Mamba....

Tutarudi kwenye hii Comment yangu au yako..
 
Siko upande wenu huo...
Hata 2018 nilikuwa Croatia....

Nawapenda sababu wana Vibe..

Ila WC hii.....Maombi yangu yapo na Messi....
Amen amen amen
Tulianza na Mungu tunatembea ma Mungu tutamaliza na Mungu. Wenye nia njema wote mseme amen
 
Haha sasa mkuu kuna Mtu bingwa wa kuwagalagaza mabeki kama Messi
 
Mnamkuza tu

Nyie mashabiki wa Messi mnachonga sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sawa....

Mmemaliza kumfananisha Messi na Ronaldo then mkajipa Conclusion wenyewe....
Then mmeamia Messi na Mbappe....

Mtu mmoja huyo huyo? Dah!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…