Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Messi ni magicianMessi bana hua kuna kitu ananifurahisha. Kuna mambo yanaweza kutokea watu wakamsema we naona sijui hua anawasikia, ghafla utaona anatafuta mpira akiupata lazima asombe kijiji mita kadhaa hadi kwenye 18 yao
Yani Ana mchezo flani hivi wa kubadili upepo usipotarajia