Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Oh aise ngoja nitaenda huko chitchat.... tuonjeshe na kaselfie kamoja hapa.[emoji39]
Uzi wa selfie upo,kuna mapicha kama yote
Usinitoe kwenye reli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Hizi lugha mmenifundisha wenyewe majukwaani huko kwenye threads za mipira na chalii yangu OllaChuga Oc

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule Liverpool ni kizungu tu



Hee,[emoji1787] Oyaa hebu muache Chalii yangu bhana

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Liverpool mnakuwa na komenti ndefu sana lakini huwa sioni mkichambua mpira, mnachambua zaidi timu, fsg, klopp na majeruhi.

Huyo ollachuga sidhani kama ni mtanzania kwa asili maana kiswahili chake kipo hovyo sana.

Nimekuona kule chitchat, aise kumbe nakufahamu kabisa kiuhalisia.😂😂
 

Mwanampira hawezi kusema messi anaandaliwa, wanamponda messi hadharani lakini ukweli unabaki kwenye mioyo yao ya kwamba (MESSI NI MMOJA TU)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…