Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sasahivi wapo kimyaaaSipati picha kama ile penalty ya England angepewa Sakha akakosa
Waingereza wangemmeza mbichi
Ubaguzi ni kitu kibaya sanaSasahivi wapo kimyaaa
Kama hakuna kilichotokea.
Nachukia sana ubaguzi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Comment za waingereza sjui zingekuwaje huko mitandaoniSipati picha kama ile penalty ya England angepewa Sakha akakosa
Waingereza wangemmeza mbichi
Sawa, uandishi wako hauna ile ladha ya kidada. Itakuwa liverpool imekukomaza.😂
Mtu akishaonyesha dalili za ubaguzi tu anaharibu.Ubaguzi ni kitu kibaya sana
Kama yule mchezaji wa Morocco aliharibu sana..! Hata kama alirekebisha
Khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa, uandishi wako hauna ile ladha ya kidada. Itakuwa liverpool imekukomaza.[emoji23]
Oh aise ngoja nitaenda huko chitchat.... tuonjeshe na kaselfie kamoja hapa.😋Khaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukija chitchat utanikuta nachat kidada ,uzi wetu wa Mshana wa picha tunatupia hadi maselfie yetu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Uzi wa selfie upo,kuna mapicha kama yoteOh aise ngoja nitaenda huko chitchat.... tuonjeshe na kaselfie kamoja hapa.[emoji39]
Tafuta mtu mwingine akufundishe lugha lakini sio huyo OllaChuga Oc maana kiswahili hakifahamu.Uzi wa selfie upo,kuna mapicha kama yote
Usinitoe kwenye reli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizi lugha mmenifundisha wenyewe majukwaani huko kwenye threads za mipira na chalii yangu OllaChuga Oc
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta mtu mwingine akufundishe lugha lakini sio huyo OllaChuga Oc maana kiswahili hakifahamu.
Liverpool mnakuwa na komenti ndefu sana lakini huwa sioni mkichambua mpira, mnachambua zaidi timu, fsg, klopp na majeruhi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kule Liverpool ni kizungu tu
Hee,[emoji1787] Oyaa hebu muache Chalii yangu bhana
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Donatello[emoji16]ninja turtleView attachment 2448416
Unataka mashine nini mbona umeipostninja turtleView attachment 2448416
Sipati picha kama ile penalty ya England angepewa Sakha akakosa
Waingereza wangemmeza mbichi
Waarabu walizidi kelele
France wawe makin sana kma mechi na England wali tengeneza penalty 2.
Wapumbavu wa mpira mpo wengi sana Team zenu zimetolewa kwa ubovu msijifichw kwenye kichaka cha Messi sijui kubebwa sijui kuandaliwa! Brazil kacheza na Croatia,wameenda penalty wametolewa je ni Messi alikuwa anaandaliwa? Team bora kam Belgium na Spain zimeshindwa kutoboa kwa Morocco je ni Messi alikuwa anaandaliwa? portugal kashindwa kutoboa kwa Morocco je ni Messi alikuwa anaandaliwa?.Tafuteni hoja za msingi mpira ni mchezo wa hadharani ,hauchezwi chumbani!.
Humu ndani hakuna wachambuzi sahivi kuna walalamikaji tu.