We Kenge usilazimishe kila Mtu apende unachopenda, duniani tuko Watu B 8 kasoro M 200, fikiri kwa akili za kuvukia barabara tu kuwa kwanini tusitofautiane upenzi na ushabiki wa timu na wachezaji?
Kenge wa bluu wewe.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
sasa leo ndio natimiza 😂😂Hebu niwache🤣🤣🤣🤣
Hakuna kitu umewahi niahidi ukatimiza.
Hahaaaaaa,Semi Final
Croatia vs ARGENTINA
Morocco vs FRANCE
FINAL
ARGENTINA vs France
ARGENTINA 🇦🇷🏆
In the locker room.WHRE IS MBAPPE?
Penalties 5 zote kwa mechi 7 ndipo penye ukakasi wa kutopenda kabisa hili kombe la dunia [emoji23]
Nakadori mambo, namtafuta Mbape simuoni,kama kuna mtu kamuona mbape mwambie anatafutaWASHATEKENYWA MBUPU SIJUI WATAKUJAJE. FRANCE FANS UWANJANI WAMEPOAAAAAAA KAMA SIJUI NINI
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 No estas serio
Más tarde de que hora cariño?🤣🤣🤣🤣🤣🤣 No estas serio
HATA MIMI SIJAMUONA SJUI YUKO KONA GANI HUYUNakadori mambo, namtafuta Mbape simuoni,kama kuna mtu kamuona mbape mwambie anatafuta
Si nilikuambia!!!France bwana🥲🥲
Game imewakataa leo, wamekua wazito snDaah yani leo France haieleweki fowadi nani beki nani yani hata Mbappe leo amegeuka beki
Kipa wa Argentina unaweza mpelekea hata blanketi akalala kabisa
France leo sijui miguu imepinda maana siyo kwa hizi nafasi wanazokosa
.Penalties 5 zote kwa mechi 7 ndipo penye ukakasi wa kutopenda kabisa hili kombe la dunia [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
WEEEEE MUNGU ATULINDIE TU HAYO MAGOLI MAANA HATUTAKAA HAPAQHawa jamaa wakirudishaa humu ndani natokaa, kutakuja nyuki hapaaa.
Huu mpira huu....
Watu mna maneno khaaMbappe ana kesi ya uzururaji
Watoto ndiyo huangaliaga hizi picha, asante sana Mjukuu wangu kunionesha akili zako [emoji847]