Messi Messiah [emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakijitokeza nitag Mkuu...Nakuomba sana...
Kuna Watu waliongea mbovu sana kwa Messi....
But Mungu ni Nani....
Ni Me angekua Ke hii hela ningeweza kumuachiaNi me au ke?
Ukiona mchezaji wa ufaransa namba 10 kazungukwa na wachezaji wanne au tano wa argentina huyo ndo mbappeMbappe yupo wapiiiii
Kwa heshima ya King Messi....Tuliwaambia Mungu atokei kijijini kwao so chuki zao ni nonsense tu.
Estas loco 😎Más tarde de que hora cariño?
HIVI KWANINI LEO KOCHA WA FRANCE HAJAMCHEZESHA MBAPE???!
Bora wangemuachia hata Morocco labda wangepaki basi na kuachia dakika za mwisho mwishoWanezidiwa kila kitu. Fainali imeboa yn imekua nyepes sn kwa argentina
Rafiki yangu, una ugomvi na hiyo lugha?