Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mkuu France hajazidiwa kati tuu,
Kipa mwenyewe kazidiwa,

Giroud Mwenyewe sijawahi muamini ila mzee wa watu ashajitokea...
Hawa jamaa leo hawana chao,
Wakishinda hii gemu ni ubakaji.
 
Pengo la Pogba na Kante ni kubwa sana Sena Argentina wamecheza Kwa kujitoa sana France kama wamepigwa spana miguuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…