Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
- Thread starter
-
- #29,381
Tupo tunachungulia tu comment hatuna jeuri tena mtuite mbwa tumekaa paleJAMAN WAFRANSA WA JF WHERE ARE U
Mirungi ili achangamke uwanjaniMESSI ANATAFUNA NINI
Nakadori mambo, namtafuta Mbape simuoni,kama kuna mtu kamuona mbape mwambie anatafuta
Sahihi kabisa....hawa miamba ndio walikuwa engine ya ushindi mwaka 2018...Pogba na ngolo kante ilikuwa ni pengo kubwa saana.
HAHAHAHAMirungi ili achangamke uwanjani
Wale Team Ronaldo mliohamia Team Mbappe Mko aje huko?
Au tuwaache kidogo[emoji1787]
Nyieee....
Mimi leo nina furaha ya Ajabu...
Mkuu France hajazidiwa kati tuu,Nilikuwa natamani france abebe ndoo lakini sioni dalili, France wamezidiwa hapo kati, hawana mipango labda deschamps afanye jambo ila sioni dalili..
Argentina wako vizuri, mipango ya kocha ni mizuri.
Pogba na ngolo kante ilikuwa ni pengo kubwa saana.
Giroud 😂 nasema kila siku si mchezaji wa kutegemea, unahitaji kumilili mpira kutengeneza nafasi nyingk, krosi nyinggi ili akuoe kitu, lakini sio ttimu yako ipaki basi yeye akae mbele, ni sawa mko pungufu.
Leo anaweza kumaliza Pakti nzima huyu[emoji1787]Messi anataka kuweka la tatu
MBWA KUSI EEEHHTupo tunachungulia tu comment hatuna jeuri tena mtuite mbwa tumekaa pale
Pengo la Pogba na Kante ni kubwa sana Sena Argentina wamecheza Kwa kujitoa sana France kama wamepigwa spana miguuniNilikuwa natamani france abebe ndoo lakini sioni dalili, France wamezidiwa hapo kati, hawana mipango labda deschamps afanye jambo ila sioni dalili..
Argentina wako vizuri, mipango ya kocha ni mizuri.
Pogba na ngolo kante ilikuwa ni pengo kubwa saana.
Giroud [emoji23] nasema kila siku si mchezaji wa kutegemea, unahitaji kumilili mpira kutengeneza nafasi nyingk, krosi nyinggi ili akuoe kitu, lakini sio ttimu yako ipaki basi yeye akae mbele, ni sawa mko pungufu.
Walishaanza kumuita Griezman another NGolo Kante, leo yuko wapiSahihi kabisa....hawa miamba ndio walikuwa engine ya ushindi mwaka 2018...
Pila halijaishaWalishaanza kumuita Griezman another NGolo Kante, leo yuko wapi
Unaionaje hiyo?Di Maria out Acuna in[emoji106]