Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mbappe ni mchezaji mzuri ila hayupo kwenye daraja la Messi .. bado ana safari ndefu sanaaaa mkuu.. Messi ana ka ulimwengu kake, Mbappe akaze tu
Tatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss penati alivyo na kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.

Miss penati kalalamikiwa tuzo zote za balloon D'O 2010 na 2020 ambazo ingebidi wabebe Iniesta na Lewandosky.

Mchezaji yupi tofauti na Miss penati aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya bure zaidi ya Miss penati pekee [emoji848][emoji16]
 
Kwan pale psg hawez kuwafkia?
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…