Babe tulia kwanza tukashetehekee, huu sio ushindi mdogo. Ugua pole, tutaonana J4.Ishia hapo hapo mkuu🤣
Ussshhhhuuuuunggguuuuuu 😭😭😭😭😭!!Kwani ulikuwa upande gani wewe🤣
Sanaaa baada ya Messi nitakua namuwatch huyu dogo very close...anajua anajua anajua tenaaaaaHongereni, sisi tumekubali kushindwa, tunekubali Messi ni GOAT, tumekubali kuwa Messi vs CR7 basi mtu mfupi yuko juu. Tumekubali.
Ila Mbappe anakuja kwa kasi sana.
Tatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss penati alivyo na kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.Mbappe ni mchezaji mzuri ila hayupo kwenye daraja la Messi .. bado ana safari ndefu sanaaaa mkuu.. Messi ana ka ulimwengu kake, Mbappe akaze tu
Epl inarudi wiki ijayo..tuanze kumtembezea Pep bakora sasaLeo nashinda baa mamaee
Ukirudi hunikuti, nishatafuta mfaransa mwenzangu hapa🤣🤣🤣Babe tulia kwanza tukashetehekee, huu sio ushindi mdogo. Ugua pole, tutaonana J4.
😅😅😅😅 banaa tutaonana jumanne sio mbali hapo tuuHii furaha yenu ndio mkapongezane? Ishia hapo hapo mkuu🤣🤣🤣🤣
Kwan pale psg hawez kuwafkia?Much respect to Mbappe. Dogo yuko na potential kubwa sana ya kufanya makubwa. Anatakiwa tu kufanya maamuzi magumu atoke pale PSG. Akicheza pale Madrid, kuna uwezekano mkubwa akafikia records za hawa legends.
Hii ilikua fainali ya kiume sana. Ila kama kawaida, wahuni wameshinda. Nashukuru Mbappe kafunga penati kadhaa leo, ili zile kelele za Messi kufunga penati zisiwepo!
Scars na Saint Anne, kuweni na usiku mwema.
Mtani hebu simba tuwaache kwanza. Utatuharibia usiku wetu🤣🤣🤣Nimefurahi sanaaa
Leo Simba imenipa raha hawa nao huku uhamishoni nao wamenipa rahaa
God is goood nilikua namwombea Messi hili kombe.
Tatizo Mbappe ni ngozi nyeusi ila laiti angekuwa na ngozi ile kwa jinsi Miss ambavyo kashazeeka, huweziamini mpango wa kubebwa bebwa kama Miss ungeshaanza zamani sana tu ili awe mrithi wa Miss Penati.
Miss penati kalalamikiwa tuzo zote za balloon D'O 2010 na 2020 ambazo ingebidi wabebe Iniesta na Lewandosky 2020.
Mchezaji yupi tofauti na Miss penati aliwahi kulalamikiwa kupewa tuzo ya bure zaidi ya Miss penati pekee [emoji848][emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Bingwa Argentina nime declare kitamboHaha mkubwa agenda imekuwa kupoteana tena siyo nani bingwa
Anaonewa kweli mkuuronaldo kwa herufi ndogo yeye yupo bize kulalamika na media natengwa naonewa akuna kama kiwango huna pia huna chako
Mkuu tukauguze maumivu ya kufungwa na waajentina🤣🤣Ussshhhhuuuuunggguuuuuu 😭😭😭😭😭!!
Hii lazima maana psg msimu huu nayo ileee fainaliiBallon d or ya 8
Inakuja
Mashabiki wa ronaldo hawawez kuwalinganisha tena
Muache banaHakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Hongera Messi, umelipambania kombe kwa jasho na damuNarudia tena(3x), Messi huwezi kubeba hii ndoo kirahisi hivi
Mimi kwa leo sina MAONI Beshti..Nina rahaaaa nimehamia Argentina kama shabiki wa mkopo mwenye mapenzi makubwa na Leonel Messi..Mungu ni mwema naondoka narudi kwny timu yangu kwa ushindiiii
HUREEEEEEEEEEEEE
Hakika sisi ndiyo Mabingwa [emoji123][emoji120][emoji2]Basi nyie ndo mabingwa