Sawa tumepasuka..Nyie si mnanionaga mi coward navyo shabikia bila kuweka cheddar
Sasa leo hii kuna vibopa vimepasuka kwa muhindi vinapiga hesabu jinsi gani ya ku fix hiyo hasara
Njia wanayoifikiria ni kuweka matumaini kwa Mexico wazee wa Narcos
Baada ya mpira kuisha tutakamatana hapa hapa kujua jumla ya hasara waliyoipata
Ngoja ngoja naonekana zobaHawa tunawala ngojeni...
Msilalamike fungueni milango ya busWamepaki basi
Unataka tulete Takwimu za timu zilizopigwa mechi ya kwanza na bado hakuna cha maana walichokifanya?Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Umeona kuhusu live play? Unamuona kabisa mtu anayechezaLeo wachezaji wa saudi wataoga mihela tuuu wakihinda hii mechi
Anaitwa SaudKuna huu mbeki wa kulia wa Saudi Arabia unamekamia game kama umepewa ahadi ya kuoa demu wa kiarabu
Mkuu inspiration quotes🤣🤣🤣Mwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Nimekubishia nini sasa?Unataka tulete Takwimu za timu zilizopigwa mechi ya kwanza na bado hakuna cha maana walichokifanya?
Argentina ilikuwa mbovu sana siku ya leo. Huo ndiyo ukweli.
Ngoja ngoja naonekana zoba
Wale Spain usiwalinganishe na Argentina mbovu kama hii Yani wew kiungo wak Rodrigo de Paul wezako walikua Wana iniesta,xaivi,cecs wezako beki zao walikua kina puyol wew beki zako kina otamendi wazee wasubir mexico wakunganganie utoke vizuriMwaka 2010 World Cup iliyofanyika pale South Africa, mechi ya kwanza Spain anakufa 1-0 kwa Uswizi lakini alikuja kutwaa ubingwa.
Somo: Never underestimate Argentina
Tunaumwa ugonjwa mmojaHalafu mimi sijui na ugonjwa gani huwa na enjoy kuona zinazoitwa team ndogo zinashinda na enjoy sana