Aaaah lazima bwana tukitoa droo tena leo basi ntapumzika humu jukwaani kwa muda wa mwezi hivi. Niendelee na ishu zingineWee uzuri wako sii unakuwa upo busy na simba yako....leo vipi ihefu anatoka
Huyu milinkovic savic bonge la mchezaji...yaani huyu asipocheza pale lazio timu inapwaya sana.Serbia hawa hapaView attachment 2414384
Huyo ni NemanjaAliye zungushiwa ni mzungu wa simbaView attachment 2413512
Argentina imekua tamuuuuu.......Team Argentina tujuane mapema..
Lisandro Martinez[emoji736]
Alejandro Garnacho[emoji736]
Asante mchambuzi wetu wa ItaliaHuyu milinkovic savic bonge la mchezaji...yaani huyu asipocheza pale lazio timu inapwaya sana.
hawa machinga wetu wanaohangaika mitaani hatuwezi kuwajengea kitu kama hichi kweli ili jioni wakifunga panakua na madhari nzuri..........World Cup Village - hiki ni kijiji maalum kwa ajili ya mashabiki hapo Qatar ambapo kitakuwa kinalaza mashabiki watakaopenda kulala hapo maana kuna sehemu nyingine kama hoteli.
Kijiji hiko kimejengwa kwa makontena na kina vyumba takribani 6,000 (elfu sita).
Kulala hapo kwa usiku mmoja ni US Dollar 200 sawa na Shilingi za Kitanzania 466,400 kwa usiku mmoja tu.
Na tayari vyumba vyote elfu 6 vya kijiji hiko vipo booked (vimejaa)
View attachment 2413638View attachment 2413639.
hatimae baada ya miaka mingi argentina wana GK na defence ya kueleweka, unayoweka kusema ni defence yenye status yao!Hili hapa team la ushindi...ArgentinaView attachment 2413645
Dah sie wapenzi wa azzuri tunaangalia world cup kwa chupa tuu. Sijui nisupport timu gani hii world cupAsante mchambuzi wetu wa Italia
Hawa viumbe vina fanana sanaWanajeshi 26 wa Korea Kusini...Hyueng Min Son yupoView attachment 2414682