Myunani wa II
Senior Member
- Aug 13, 2022
- 186
- 422
Sariboli...umenikumbusha napoli ya sari ilikuwa balaaa ile. Timu unaiangalia inakufa furaha mpaka basi. Maishani sijawai acha mbususu ila nakumbuka kuna siku napoli walikuwa wanacheza nilikataa ofa ya mbususu.
That team did not win the seri a but was an absolute delight to watch! Mertens, calejon, ensigne, jorginho, zielinski na yule mzee wa kiduku hamsik. Sitawasahau
Sawa jitahidi kukaa runingani ili tujumuike kuangalia mateke.Kwenye kuhangaika nishatoka
Hapo sawa
Hiyo ndogo, ongezaElfu 70
Mnyama Son huyoKuna mwamba mmoja wa South Korea aliachia fataki kwenye lango la Ujerumani Hadi nikamtolea macho wee🤔
hahhahahAibu sana yani,af keeper wao kama pazia tu,kila ukigusa imooo
Weeeh, Nerthelands Wazuri kuliko EnglandNetherlands toa..
Hata isipokaa vizuri inawafungaMimi nilishasema hapo awali kwamba hata Taifa Stars ikikaa vizuri inaweza ikawachapa Hawa Costa Rica
Weeeh, Nerthelands Wazuri kuliko EnglandNetherlands toa..
uliangalia game yao na senegalWeeeh, Nerthelands Wazuri kuliko England
Mbona hatupeani matokea Spain kashinda goli zote hiz awa watoto wa Costa Rica shida ilikua nin duh Leo sjacheki Ata mechi mojaHawa Timu zinazofunga magoli mengi wangepewa ofa ya bia huko vyumbani mwao.
Mechi za makundi waanze kusherehekea jamani! Wanaweza wakashinda na mabao mengi ivo ila wakadondoke kwenye makundi.Hawa Timu zinazofunga magoli mengi wangepewa ofa ya bia huko vyumbani mwao.
Ndo nasbr niwaone wana Spain mmpe tena kipigo na yy akiwa yupo katk desperate moment ya kupata matokeo.Juzi tu kwwnye league of national alikaa uyo ujerumani