Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Sariboli...umenikumbusha napoli ya sari ilikuwa balaaa ile. Timu unaiangalia inakufa furaha mpaka basi. Maishani sijawai acha mbususu ila nakumbuka kuna siku napoli walikuwa wanacheza nilikataa ofa ya mbususu.

That team did not win the seri a but was an absolute delight to watch! Mertens, calejon, ensigne, jorginho, zielinski na yule mzee wa kiduku hamsik. Sitawasahau

Yah, mpira wa siku hizi inahitaji akili mingi na kujituma sana, bila hivyo mafanikio ni ngumu mno
 
20221123_210738.jpg
 
Hawa Timu zinazofunga magoli mengi wangepewa ofa ya bia huko vyumbani mwao.
 
Hawa Timu zinazofunga magoli mengi wangepewa ofa ya bia huko vyumbani mwao.
Mechi za makundi waanze kusherehekea jamani! Wanaweza wakashinda na mabao mengi ivo ila wakadondoke kwenye makundi.
Mpira hudunda aisee!
 
Back
Top Bottom