Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hahahahaha haya bwana
 
Huko mbeleni watakutana wote timu pendwa itafika stage itawwbidi tu wakomae kivyao

Alikuwa ananiboa Ronaldo alivyokuwa ana laani baada ya Ghana kusawazisha
Alinunaaa yani alijawa na hasira sema wenzetu weupe hawakunjagi ndita hivi ni kwanini..au sisi ndita huku kwetu ni madhara ya upepo na jua?😆😆
 
Demu keshalowana chini kwa kumuangalia Neymer wapuuzi kweli hao watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…