Ajue kuwa Neymar kaifungia Brazil goli 75, mbili tu nyuma ya magoli 77 aliyofunga Pele. Na possibly kwenye haya mashindano Neymar anaweza vunja hiyo rekodi ya PeleAta kulaumu game ya UEFA final mbape clear chance anampa Nuer
Unamlaumu vipi Neymar?
Game na Madrid kachoma Dounaruma unamlaumu.vipi Neymar?
Ubaya mmekalili kuwa Neymar vyenga so timu ikizungua ni neymar
Izo ni mentality za wabongo ila EUROPE
Wanajua impact ya Neymar uwanjani ndo maana hutoona ney Anawekwa bechi ata azingue vipi
Kuna watoto humu usisahauUnaizungumzia Brazil ipi lakini jamani... Mana hii wanaonza kikosi cha kwanza ni moto na wanaotokea sub ni balaa kabisa.. katika makocha ambao wana kaz ngumu ni huyu wa Brazil.. akose hili kombe sijui atawaeleza nini wakereketwa wa hii timu og
Possibly litakuwa goli bora la haya mashindanoBest goal ever tokea Mbugi la WC lianzee View attachment 2426812
Waafrika usiwaamini saaanaLeo Senegal wakileta mambo ya kifala naacha rasmi kuzishabikia timu za Africa.
Sijaangalia ila tabia ya Neymar naijua sana.Umeangalia mpira wa jana au unapewa stori za kweny vijiwe umeona kazi aliyefanya Neymar jana ao viungo wakabaji na beki za Serbia kutoka Kwa Neymar kwao ilikua sherehere kama Neymar angecheza dakika zote 90 Kuna mchezaji wa Serbia alikua anakula umeme
Tuliza kwanza fuvu ndio utanielewaNyota gani Neymar ndio mchezaji watatu mwenyewe followers wengi kweny mitandao ya kijamii, Neymar ndio mchezaji anayeongoza Kwa kupendwa Brazil,Neymar ndio mchezaji watatu Kwa umarufu Duniani Neymar Ndio mchezaji anayeongoza Kwa kupendwa na dada zenu unazungumzia Nyota Gani
SaudiaMD1 is complete.
Which nation impressed you the most during the first round of fixtures? [emoji2956]
#FIFAWorldCup
Me: Ghana, Saudi Arabia, Japan
Uhakika gani?Sasa tunaingia round ya 2, wale wa kubeti bora msibeti. Kuna timu zitakaza balaa hamtoamini.
Timu zenye uhakika wa kushinda leo ni
UK
Ecuador
Ofcourse kila mchezaji ana unique character yake, na tabia ya Neymar haimfanyi kuwa mchezaji mbayaSijaangalia ila tabia ya Neymar naijua sana.
Nimecheka, wachezaji wa Ghana wanamchungulia utadhani yuko juu ya mtiHiki kibabu sijui huwa kina mabawa..View attachment 2427117
MD1 is complete.
Which nation impressed you the most during the first round of fixtures? [emoji2956]
#FIFAWorldCup
Me: Ghana, Saudi Arabia, Japan
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]WABRAZIL NDO TUNAAMKA BAADA YA KUZINDUA KOMBE LA DUNIA
Amebadilika aisee, ule utoto wa kujiangusha hovyo na kudeka deka hana tenaSijaangalia ila tabia ya Neymar naijua sana.