Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ata kulaumu game ya UEFA final mbape clear chance anampa Nuer

Unamlaumu vipi Neymar?

Game na Madrid kachoma Dounaruma unamlaumu.vipi Neymar?

Ubaya mmekalili kuwa Neymar vyenga so timu ikizungua ni neymar

Izo ni mentality za wabongo ila EUROPE

Wanajua impact ya Neymar uwanjani ndo maana hutoona ney Anawekwa bechi ata azingue vipi
Ajue kuwa Neymar kaifungia Brazil goli 75, mbili tu nyuma ya magoli 77 aliyofunga Pele. Na possibly kwenye haya mashindano Neymar anaweza vunja hiyo rekodi ya Pele
 
Unaizungumzia Brazil ipi lakini jamani... Mana hii wanaonza kikosi cha kwanza ni moto na wanaotokea sub ni balaa kabisa.. katika makocha ambao wana kaz ngumu ni huyu wa Brazil.. akose hili kombe sijui atawaeleza nini wakereketwa wa hii timu og
Kuna watoto humu usisahau
Brazili kwenye Fifa ranking no. 1
Hata timu B ya Brazil inaweza ikachukua hili kombe mbele ya Argentina na hao favourites wengine
 
20221125_100430.jpg
 
Nyota gani Neymar ndio mchezaji watatu mwenyewe followers wengi kweny mitandao ya kijamii, Neymar ndio mchezaji anayeongoza Kwa kupendwa Brazil,Neymar ndio mchezaji watatu Kwa umarufu Duniani Neymar Ndio mchezaji anayeongoza Kwa kupendwa na dada zenu unazungumzia Nyota Gani
Tuliza kwanza fuvu ndio utanielewa
 
Back
Top Bottom