Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Yan kuna wapuuz humu walikua wanaongea kana kwamb matokeo wameyaona kua tumetoka.Piga keleleleeee tulizaraulika sanaaa
Tutajua tunasafirisha ama tunazika QatarGame ya Ajentina na Poland itakua ni ya kufa na kuzikana kabisa..
Endelea kuota utaamka ukimaliza ndoto.Poland atawatoa,mtalia kama watoto.
🇦🇷🇦🇷🇦🇷Msione kmy washabik wenzang wa LA Albiceleste kiukwl nilishindwa a angalia game hii nimewasha data game ilikua na presha.
Maneno yalikua mengi sana lkn tumeonesha kwnn sisi ni Mabingwa Wa South America na tulimfunga team yao pendwa kwao pale Brazil.
Vamonos [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Ohooo niliwaambia mimiYan kuna wapuuz humu walikua wanaongea kana kwamb matokeo wameyaona kua tumetoka.
Mpr hauko ivo hata kama ww hater jarb bakiza maneno.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tukutane mechi ya mwisho mtadhalilika vibaya hayaHata Leo mliwaombea vibaya ila wametoboa...
Messi mchezaji mkubwa hakosi mbinu za kufunga bwana baada ya kuusoma mchezo
Vyovyote vile tutatoboa tuArg wanashangilia kama wamekuwa mabingwa aombee amfunge poland maana mekiko akimtungua saudi kwa goli nyingi anapita
Walioumia poleen sana mpr hauko mdomon mpr kiwanjan.
Vamonosssssssss[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji41]
Kwn nyie mlivo Shangalia sisi kufungwa Saudi alikua amechukua ubingwa au?Arg wanashangilia kama wamekuwa mabingwa aombee amfunge poland maana mekiko akimtungua saudi kwa goli nyingi anapita
Iyo game itakuwa ni ya moto sana maana Saudia akimpiga Mehico basi anafuzuSi ya kukosa.
Si lazima upendacho wewe Nakadori kila Mtu apende, Watu tutakuwa kama ng'ombe ambaye hachagui aina ya msosi kila ng'ombe ni nyasi kwa kwenda mbele [emoji1787]Hata Leo mliwaombea vibaya ila wametoboa...
Messi mchezaji mkubwa hakosi mbinu za kufunga bwana baada ya kuusoma mchezo
Kama saudi walivyoshangilia 🤣🤣🤣Arg wanashangilia kama wamekuwa mabingwa aombee amfunge poland maana mekiko akimtungua saudi kwa goli nyingi anapita
Ww waache walete unazi hapa watajua hawajui.. Wanasema tusishangilie sana wakt wao sik tunafungwa walileta fujo hapa.Ohooo niliwaambia mimi
Ngoja tuingie nusu fainali washangae
Dunia yako we pekee na mkeo, na ukome kutusemea wengine, kenge wa bluu wewe [emoji57]Dunia nzima ilikuwa inataka Argentina ishinde kwasababu ya Messi. View attachment 2428554View attachment 2428553View attachment 2428552
Nchi ilijipa mapumziko ya kitaifa kisa kuifunga timu ya dunia....Kama saudi walivyoshangilia 🤣🤣🤣
Utazima data,ukiwasha utaona media zote Messi aaga mashindano.Endelea kuota utaamka ukimaliza ndoto.
🤣🤣🤣🤣🤣Si lazima upendacho wewe Nakadori kila Mtu apende, Watu tutakuwa kama ng'ombe ambaye hachagui aina ya msosi kila ng'ombe ni nyasi kwa kwenda mbele [emoji1787]
Hata hivyo bado kamati ya roho mbaya dhidi ya Argentina niko hapa, naendelea kukaza dua [emoji28]