Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Busquets tayari amepata kadi ya njano, atapunguza aggressiveness. Akina Jamal Musiala wakifanya homework yao vizuri wanaweza kupenya.

Otherwise, Germany wasipoweza kuikamata midfield, mchezo hautakua upande wao. Naona mashambulizi yao yote yanatokea pembeni pamoja na dead balls. Ila madogo wanapenya vizuri tu na kufika golini kwa Germany.

Ngoja tuone second half watarudi na mbinu zipi.
Spain atafungwa kwa mipira iliyokufa.
 
Tupate wadhamini kidogo
FB_IMG_16684927594070895.jpg
 
Wajerumani bana waliwagongesha sana stiki babu zetu kwenye ujenzi wa reli ya kati. Imagine mdingi anagongeshwa stiki hadi anashindwa kukaa siku 3 makalio yanawaka moto. Siwezi kuipenda nchi ya hivi
Tangu wawajengee ile reli mpaka leo ni miaka zaidi ya 100 mmeshindwa kutengeneza railway network kama ile.

Hii ni kwasababu hakuna anayewaforce kama ilivyokuwa kwa babu zenu ndiomaana mnashindwa, walikuwa sawa kuwapiga kama mbwa.
 
Tangu wawajengee ile reli mpaka relo ni miaka zaidi ya 100 mmeshindwa kutengeneza railway network kama ile.

Hii ni kwasababu hakuna anayewaforce kama ilivyokuwa kwa babu zenu ndiomaana mnashindwa, walikuwa sawa kuwapiga.
We unaongea hivi ukiwa raia wa wapi?
 
Back
Top Bottom