Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Kwahiyo huu uzi umegeuka wa kujadili habari za Mashoga na sio WC - Qatar???

Tafadhali anzisheni uzi wenu wa kujadili hayo, muache huu mpaka tufike final

Moderator mzingatie hili
 
Edited 100%
 
Kwa hiyo qatar leo wanakamilisha tu mzunguko? Sema sio mbaya si wapo home wanawahi wapi
 
Na wewe toka lini?
 
Penalty nyingi za haya mashindano kiukweli zina utata sana, mtu kaanguka kaweka balance ya mkono inakuwaje tuta kwahiyo refa alitaka afikie nyonga?
Tuongelee na yale magoli ya Cameroon, imekuwaje si offside
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…