MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Bora Wewe Umezungumza Mkuu, Ufaransa Hakua na Cha Kupoteza, Kiuhalisia Nafasi ya Kwanza Kwake Ilikua kwa Asilimia KubwaAh hawa bwana walionekana wazuri kwa kuwa ufaransa hawakuweka majembe yake. Yalivyoingia tuu kiwanja kikainama
Hapa Senegal anapita tena akiweka displine kama ile ya juzi alivyomfunga Ecuador
Litakufa jitu
Huwa Inatokea Anarudi na Maamuzi Yale Yale, Ila ni Mara Chache Saaana! [emoji1787][emoji1787]Sijawahi kuona refa akienda kuangalia screen akarudi na maamuzi yale yale. Wanadai Griezmana aliotea hata kama mchezaji wa Tunisia alipiga kichwa. Wanadai pamoja na kupiga kichwa lakini hakucheza kwa hiyo Griezxman hakutakiwa kuucheza huo mpira kwa sababu alitokea offside
Hii sare hii. Hivi kuanzia hatua ya 16 kuna penalties kama timu zitatoa sare au ni mpaka robo fainali?
Yeah kiukweli walikaza sanaNmependa mlivyomkaliza france
Leo Argentina lazima atamfunga Poland japo najua Poland hawatakubali kirahisi kupoteza hii golden chance waliokwisha pata ya kusonga mbele
Waarabu nao nawaona wakidroo na Mexico so kuna uwezekano Poland wakasonga mbele kwa advantage ya GD nzuri japo lolote laweza kutokea
Group D hakuna mabadiliko, naona France na Australia wakisonga mbele kwa nafasi walizo nazo sasa
Roud of 16
- France vs Poland
- Argentina vs Australia
"Kombe la kunywea chai"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌unaota ndoto ukiwa wapi. au unamaanisha kombe la kunywea chai
Heko MkuuFrance hawakuingia kwa lengo la kusaka ushindi leo hii, ndio maana mwanzoni Kocha aliweka wachezaji wa kwa kuwajaribu na kuwapa experience ya michuano ya WC
kabla hata yeye hajapiga mpira kuna mchezaji mwingine wa ufaransa alikuwa ameotea tayariSijawahi kuona refa akienda kuangalia screen akarudi na maamuzi yale yale. Wanadai Griezmana aliotea hata kama mchezaji wa Tunisia alipiga kichwa. Wanadai pamoja na kupiga kichwa lakini hakucheza kwa hiyo Griezxman hakutakiwa kuucheza huo mpira kwa sababu alitokea offside
Saudia kwani atanecheza na Argentina?Team Messi mnajiandaa kulia au kucheka ?Tunaoimbea Saudi Arabia ishinde naiqualify tujuane.
Lakini haiwezi kuwa big story kama ile ya Argentina na German.Mechi ya kwanzq mlifunga ngapi?
Hamna cha kupoteza ila inashusha CV hahaha yani hii itabaki kumbukukumbu kwa waTunis kuwa waliifunga France
Zile 7 kwa moja?Lakini haiwezi kuwa big story kama ile ya Argentina na German.
Uwe unaelewa,muda huo huo Saudi anacheza na Mexico. Ni wapi nimesema Saudi anacheza na Argentina ?Saudia kwani atanecheza na Argentina?
Hatua ya Mtoano ndio mwanzo wa kutumika sheria ya penalty.Hii sare hii. Hivi kuanzia hatua ya 16 kuna penalties kama timu zitatoa sare au ni mpaka robo fainali?
Kabisa.Yaani bingwa ndo utamshabikia.Dawa ya Hili kombe ni kuhama kila timu mpka inayochukua kombe