Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Huwa Inatokea Anarudi na Maamuzi Yale Yale, Ila ni Mara Chache Saaana! [emoji1787][emoji1787]
 
France hawakuingia kwa lengo la kusaka ushindi leo hii, ndio maana mwanzoni Kocha aliweka wachezaji kwa kuwajaribu na kuwapa experience ya michuano ya WC
 
Utabiri wangu wa leo lazima utimie
 
kabla hata yeye hajapiga mpira kuna mchezaji mwingine wa ufaransa alikuwa ameotea tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…