Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Acha kua pessimistic.Mpira ni bahati pia.
 

Za ndaaaani! Ile game ya kwanza bookies waliinunua kwa million dollars za kutosha, kabla hata ya game kuna mshkaji wangu aliniambia yupo huko abroad.

Na tena nikaja kuona tena dark web kuwa bookies walishafanya yao.

Mara ya tatu, kuna uzi fulani humu JF kuna mtu tena alitoa tahadhari watu wasimpe direct win Argentina.

Nilipata ukakasi na sikuamini kabisa, nikasema nijaribu ngoja nimpe Saudia ushindi na alikuwa na odds za kutosha mnoo.

Najuta niliweka pesa kidogo[emoji16][emoji16][emoji16]

Niliamini ile habari after game, bookies wameharibu sana football nowdays.

Kwa akili ya kawaida ni ngumu sana mtu kuamini.
 
hii ni WC mjomba inachezwa kila baada ya miaka 4 siyo ligi yenye mechi 38 possibility ya kuhuza mechi ni 0.0075% narudia tena ni WC ile mechi argentina walipewa suprise waliwadharau Saudia
 
Hao bookies hawajanunua game nyinginezo? Hivyo vitu vimekaa kidhahania zaidi
 
Kocha wa Agentina sio mzuri kwenye kuchagua kikosi
Lisandro martinez ni mpigaji pasi mzuri licha ya kucheza beki wa kati, cha kustaajabisha kocha amemweka nje

Ngoja niendelee kuangalia vurugu la timu yenye uhaba wa wachezaji wenye uwezo wa kumiliki mpira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…