vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Hivi zile Rolls Royce kweli walipewa, mbona kama warabu watakuwa vichaa sana wa matumizi. Unatoaje mzigo kama huo kizembe namna ile
Gemany ambae hata hana uhakikawa kufuzu ndo afike fainal?Hisia zangu zinanituma fainali itakuwa kati ya Germany na Argentina au ni timu yoyote ya Africa
Nilikosea hapoSaud? Ulikuwa unangalia mpira kweli
Usiwe na shaka nduguGame ya canada vs morocco inanipa wasiwasi sana
Canada anatokaGame ya canada vs morocco inanipa wasiwasi sana
Hii game kuonesha uzalendo nimeitilia 300k moroco amepewa odds 2.06 nasubiria 600k kama moroco akishinda leo[emoji847]Game ya canada vs morocco inanipa wasiwasi sana
Hongera chawa tupo tupiga duaHii game kuonesha uzalendo nimeitilia 300k moroco amepewa odds 2.06 nasubiria 600k kama moroco akishinda leo[emoji847]
amka kumekucha kijanaHisia zangu zinanituma fainali itakuwa kati ya Germany na Argentina au ni timu yoyote ya Africa
kama masihara france wanaweza kuchukua tenaamka kumekucha kijana
Kaka hawezi ata kidogo niamini mimi WC sio NBC na hata ivyo kundi lake lilikuwa jepesi mnokama masihara france wanaweza kuchukua tena
Ndoto nyevu hiispain akipigwa leo na germany nae akipigwa wote out what a football[emoji1787][emoji1787]
Kocha wa Agentina sio mzuri kwenye kuchagua kikosi
Shock inaweza kutokea mara moja moja siku tofauti tofauti lakini sio mara mbili kwa siku moja group moja na wakati mmoja...spain akipigwa leo na germany nae akipigwa wote out what a football[emoji1787][emoji1787]
Umeme ukikatwa hauchukui nusu saa kwa eneo naloishi mimi ila nadhani..Dom.nzima haina shidaNaskia Dom hamkatiwi umeme..
nahisi Arusha yetu ndo inaongozwa kwa kukatiwa umeme aise