Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Ngoja leo nijaribu kubeti nataka niweke 50000 kwamba Senegal anashinda.
kwa wenye ufahamu wa kubeti hii pesa nawekaje

Ngoja leo nijaribu kubeti nataka niweke 50000 kwamba Senegal anashinda.
kwa wenye ufahamu wa kubeti hii pesa nawekaje!?
 
Watanzania wengi tuna dalili za uchawi ni basi tu shetani hajathibitisha kitaalam
 
[emoji23][emoji23] mkuu kwa iyo Ecuador ndio kipimo kwamba Nedherland ni mbovu kwakua walitoa sare? Vipi tukitumia Saudi Arabia ndio kiwe kipimo cha ubovu wa Argentina kwa sababu walichabangwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…