Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu yangu n PortugalTimu yangu ya World Cup ni South Korea tangu enzi hizo za akina Park Ji Sung mwaka 2002
Itakuwa poa Kama dia zako Zita winUnakubaliana na Eto'oView attachment 2411490
Duh!Dondoo:
Andries Noppert wa Uholanzi ndio mchezaji mrefu zaidi katika michuano hii akiwa na urefu wa sentimita 203.
Argentina Jezi zao hawabadilishi mtindo kama Barcelona wanavyofanya , ukichubguza kwa makini mika yote Jezi kama zile zile tu tofauti ndogo sana.
Hongera mkuuTimu yangu n Portugal
Akina nuno valenteHongera mkuu
Mimi portugal nilikua nashabikia enzi hizo wana kikosi cha dhahabu cha Nuno Gomez, Figo, Rui Costa, Conceicao ambae ni kocha wa porto kwa sasa.
Hii timu ilikua ya moto nakumbuka michuano ya Euro 2000 walikiwasha sana.
Unamsema Onyango kiaina?Africa hamna kitu somjo tuu mpira hatujui jinsi ya kuuendesha.
Position tunapeana kimchongo, kazi kufungia watu. Age cheating ndio usiseme. U17 mtu ana miaka 26.
Wacha yue delee kujidanganya huku wadhungu na aouth america wakifanya yao
siipendi hii timu, basi tuThe Three LionsView attachment 2418636
afrika inatakiwa kuwaboresha kwanza mashindano yake ya vilabu, atleast yawe na muundo kama wa uefa......Yaani jumla ya wachezaji wote ni 832 ligi ya Africa inatoa wachezaji 8 tu , bado tuna safari ndefu sana kisoka naskia ligi za ulaya zaidi ya wachezaji 500+.