Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Wanacheza lkn wakumbuke kufunga kwa sbb Holland hawa wakishambulia unaliona kbs linatak kua goal.. Senegal asipoanza pata goal atafungwa yy ss.Diatta yupo Moto, Senegal wanacheza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheza lkn wakumbuke kufunga kwa sbb Holland hawa wakishambulia unaliona kbs linatak kua goal.. Senegal asipoanza pata goal atafungwa yy ss.Diatta yupo Moto, Senegal wanacheza
Sisi wamekata kama dkk 30 wakarudishaUmeme hakuna. Fu#££& Jan
Kumbe na wewe umemuona...aisee tz hatutamsahau huyu jamaaDiatta yupo Moto, Senegal wanacheza
Tatizo siasa nyingi, mara sijui pira biriani, ball litembee maneno mengi vitendo hamna. Wacha tucheki wenzetu tuu. Senegal wapo vizuri wanapambanaUkiangalia timu za Taifa za wenzetu zinavyocheza ndo utajua Tz tuna safari ndefu sanaaaaaa
Wengne tukapike sasaHalf time jamani
Mwende mkale 😁
England 6Hapa nampa
Senegal
England
USA
Sana sana mkuuu tumeacha maneno yatembee badala ya ballTatizo siasa nyingi, mara sijui pira biriani, ball litembee maneno mengi vitendo hamna. Wacha tucheki wenzetu tuu. Senegal wapo vizuri wanapambana