Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu tukija huku tunazipa support au sio?Kanuni ni ileile2 kwa wazee wa mikeka all African team to loose against Europeans team
Holland kuua mechi ndio michezo Yao hiyo tatizo ugeni wa kutazama mechi ndio unawafanya muone kitu Cha ajabuNilichobaini nimegundua kiwango cha mpira kwa muafrika aliyezaliwa Afrika ni cha mashaka sana
Hapa nakumbuka kauli ya Ferguson kuwa Mbappe angezaliwa Afrika asingekuwa hivi alivyo
Senegal wameniangusha sana, yani hizi goli zingefungwa first half isingeniuma sana
Ila second half dakika ya 85 na lile la mwisho dakika ya 98 sekunde ya 30
Basi tu
Aroo we mpuzi 😆Usimdhamini masai, muda wowote anaweza kukuachia shuka we ukajua kuna mtu kumbe shuka tu, mwenyewe alishasepa kitambo
Masai kutembea uchi Wala hajali 😂😂😂Na Qatar nao?
Ila kumdhamini masai ni kitu ambacho ni very risk
Si umecheki masai alivyo tuachia shuka?
Ndio team yangu aiseeHili kombe atabeba Denmark
Ila hujatulia tupo weldi kapu ujueeNdio muwache kuvibania hizo pochi manyoya🤣🤣🤣🤣
Hapa U.S watapigwa mbili kapa.Leo saa 4 ni USA na Wales
Hata umchukue mbape umuweke na hawa wengine nae atafanana nao.Nilichobaini nimegundua kiwango cha mpira kwa muafrika aliyezaliwa Afrika ni cha mashaka sana
Hapa nakumbuka kauli ya Ferguson kuwa Mbappe angezaliwa Afrika asingekuwa hivi alivyo
Senegal wameniangusha sana, yani hizi goli zingefungwa first half isingeniuma sana
Ila second half dakika ya 85 na lile la mwisho dakika ya 98 sekunde ya 30
Basi tu
Hawa senegal wametunyima fursa leo maana wangeshinda anagalau warembo wangetuoea utamu tusherehekee ushindi.Ila hujatulia tupo weldi kapu ujuee
Asante chama langu Netherlands, hamjaniangusha
Wamejizima data naona..Hv uholanzi mmewasahau eti au mnajizima data
Hii ni bahati tu ya mpira ila Senegal walijitahidi sana
Hawa senegal wametunyima fursa leo maana wangeshinda anagalau warembo wangetuoea utamu tusherehekee ushindi.
😝
Nilijua tu Senegal watatoka na gunduNi shabiki maandazi pekee ndo ataona Mendy kazingua
Akiongozwa na Saint Anne
Me nimesema niende tu kusoma lawama. As iko clearly goal zote hata angekuwa nani pale asingetoboaa
Bruh wakina etoo nao walikuwa magumashi tu wakiwa na timu zao za taifaHata umchukue mbape umuweke na hawa wengine nae atafanana nao.
sijui kipindi kile akina etoo walikuwa wanakiwasha sijui waliwezaje?
Dstv wanaonesha chanel gan mechi hii? Nahangaika hapaAsante mzee van gaal hujaniangusha
Mechi ya mwisho usiku huu nitakuwa upande wa mabepari USA dhidi ya vitukuu vya malkia wales
Usingizi unanininyemelea toka saa kumi sijanyanyuka