Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Screenshot_20221122-100404_Chrome.jpg
 
Leo ni Leo ya Leo Messi
Baba wa football na chenga za kutisha...
Mwanga wa football
Jamaa mfupi lakini mwenye maajabu yake
ahahaha unampamba kweli, Your mouth is so sweet lady! [emoji1787]
 
USA, England wataendelea

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Usa bado, assume Uingereza anamfunga Usa mechi ijayo, wales anamfunga iran ama Iran anamfunga Wales hapo Uingereza anakuwa amefuzu, ina maana mechi ya Mwisho Uingereza na wales hawapangi full mziki watapumzisha watu kwa ajili ya Round 16 hivyo inakuwa mechi nyepesi kwa Wales.

Ili Usa awe na uhakika 100% kufuzu inabidi amfunge uingereza, otherwise imabidi aombee mabaya wengine ili yeye afuzu. Kundi gumu.
 
Back
Top Bottom