Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hii mechi hii haya.... mtaniambia mwisho wake utakavyokuwa
 
Kutoka ZAMBIA [emoji1268] anaitwa Janny SIKAZWE
Anakumbukwa kwa kumaliza mpira Dk ya 84 baada ya kuongeza muda na kurekebisha akamaliza dk ya 89 [emoji23][emoji23] kwenye AFCON.
Lakini Mwamba yupo Qatar [emoji1203] muda huu.
Bahati ipo upande wake
 
Belgium wanalamba kadi.

Wajitahadhari na huyo refa, atawatandika nyekundu
 
Canada are so good, they only have to advance on umaliziaji. Basi
 
Back
Top Bottom