DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ha ha ha...Rodrigo,martnel,Antony,vin junior,Rafnha wanatembea kama Saul za dar Tunduma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ha ha ha...Rodrigo,martnel,Antony,vin junior,Rafnha wanatembea kama Saul za dar Tunduma
Mkuu nimewana wenye kombe lao.. natamani ije kupigwa mechi Brazil vs France...Haya, baada ya nusu saa wenye kombe lao wataingia uwanjani
Cameroon wakikutana na Brazil ni adhabu tosha mkuu... jamaa wanapiga samba mpaka wapinzani wanasambaratika.. af mabitozi kinoma yaaniGhana anaweza kupita makundi ila sio wale wenye miili ya kitumwa Cameroon nayatamani kweli niyateke yakanilimie huku nayacharaza viboko.
Hivi Viwanja Ni Next Level!..Stadium 974 ni uwanja uliopo ufukweni na umepewa jina hilo kutokana na kutengenezwa na makontena 974 na utabomolewa punde tu baada ya michuano hiyo kuisha.View attachment 2383808View attachment 2383809View attachment 2383810View attachment 2383811View attachment 2383812
Unaizungumzia Brazil ipi lakini jamani... Mana hii wanaonza kikosi cha kwanza ni moto na wanaotokea sub ni balaa kabisa.. katika makocha ambao wana kaz ngumu ni huyu wa Brazil.. akose hili kombe sijui atawaeleza nini wakereketwa wa hii timu ogHawa Brazil hamna kitu. Wakikutana na Japon,hawatoboi. Mpaka sasa Saud Arabia ndo team iliyocheza vizuri kwa kweli.
Acha wivu wewe.Hauoni hata aibu?Kwani kuchambua soccer kuna ugumu gani ?Ninachambua Posterior,anterior, peroneal veins.Nishindwe kuchambua mpira jamooooni.Ndio mkuu unafaa kua mchambuzi. Wa mchicha na matembele so wahi shishifood ukaombe kazi
Kwanza unajiita Vinicious lazima uwaone wanacheza vizuri. Hawana team ya kuchukua kombe hao.Itakuwa unaangalia mashindano mengine tofauti na yetu mkuu
Sio rahisi atoboeUnaizungumzia Brazil ipi lakini jamani... Mana hii wanaonza kikosi cha kwanza ni moto na wanaotokea sub ni balaa kabisa.. katika makocha ambao wana kaz ngumu ni huyu wa Brazil.. akose hili kombe sijui atawaeleza nini wakereketwa wa hii timu og
Kama ana uwezo tutakutana nae tu, mara hii tuko sereousMkuu nimewana wenye kombe lao.. natamani ije kupigwa mechi Brazil vs France...
Stadium 974 ni uwanja uliopo ufukweni na umepewa jina hilo kutokana na kutengenezwa na makontena 974 na utabomolewa punde tu baada ya michuano hiyo kuisha.View attachment 2383808View attachment 2383809View attachment 2383810View attachment 2383811View attachment 2383812
🇧🇷🇧🇷😂😂🔥 haya Amina Mwenye Chura yake hapo mjini MwananyamalaBrazil mkishinda niitea amina mitako[emoji846]
Sema kwa sababu alikua ni ngozi nyeupe. Ila angekua black ndio anafanya yale matendo angepimwa damu, mkojo mpaka jashoYule alitakiwa apigwe ban kabisa....
Tabia zake za kijinga sana...
Alitisha sana mwamba huyo jina la kwanza anaitwa Angelos.Charistiasiss kama sikosei aliyefunga goli la lala salama 1-0 dhidi ya Portugal tena goli la kichwa na Jamaa lirefu kama nini [emoji23]
Ameumia kweliNaombea Neymar awe ameumia ili team icheze kitim muone kama hawatapiga mtu 10
Neymar anakaa sana na mpira mpk anapokonywa haina msaada kwa team
Depal jifunze kusahau basi na kupotezea[emoji1054][emoji1054][emoji23][emoji23][emoji91] haya Amina Mwenye Chura yake hapo mjini Mwananyamala