Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Wewe nae sijui unakaza kichwa ,Hao wamekutana na timu zimeshafuzu na kuweka kikosi b Tena kucheza kwa tahadhari ,hakuna high pressing , energy ,kiufupi walikuwa wanacheza kukamilisha ratiba ,kitu gani huelewii hapo ....!!
Mkuu wakati uruguay anadroo na korea alikua kafuzu?
vp kichapo alichokula mjerumani kwa japan? nayeye alikuwa kafuzu?
 
Waargentina ubingwa ni wetu, tena mchana kweupee, hakuna team yakutuzuia, nimefuatilia spain, brazìl, England, croatia na hata ufaransa,, aise hawana mpira.

Utabiri wangu Morocco na Argentina wanakutana final
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka unaota kijana
 
Waargentina ubingwa ni wetu, tena mchana kweupee, hakuna team yakutuzuia, nimefuatilia spain, brazìl, England, croatia na hata ufaransa,, aise hawana mpira.

Utabiri wangu Morocco na Argentina wanakutana final
Ishindwe kuchukua ubingwa Argentina ina aguero, milito ije ichukue Argentina yakina papu gomez [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom