Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Hongereni watu was manzese
 

Attachments

  • IMG-20221218-WA0002.jpg
    IMG-20221218-WA0002.jpg
    57.2 KB · Views: 7
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka kwa kuibia sana Dogo....

Niliwaambia....
Messi asilinganishwe na chochote...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hatari sana dada

Dogo Mbappe alitaka kutuvua nguo watu wazima eti back to back hizo rekodi nyingine wamuachie Pele tu
 
Miss wao ni mpango wa Weupe ili awe sawa na PELE (ngozi nyeusi) lakini kizuri zaidi duniani hatupangiani Miss wao ataendelea kuwa Miss tu kwa siye tusiozuzuka na mbeleko/Argentina FC [emoji16]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yani ipangwe, na bado anayecheza naye apewe penati 2? Duh ... Kweli huo ni mpango kabambe.... Kwann wasingeongezewe penati ya pili ili kuwarahisishia?
255765664579_status_003bf6a07e8b40f4bde489d815b4f2bc.jpg
 
Sisi ambao tumebahatika kumshuhudia Messi ni baraka sana kwetu, kipind wajukuu zetu wanamsoma huyu mwamba kweny vitabu na dicumentaries mbalimbali sisi tutawaweka kitako kuwaeleza kiunagaubaga juu ya hiki kiumbe cha ajabu kwenye soka.

No doubt Messi is the GOAT

Nafikiri kipindi chetu ni cha baraka zaidi kushuhudia wachezaji bora wakichuana mess and c. Ronaldo, life time opportunity
 
Fainali imezaa goli sita before penalty wewe unasema nini,

Next time ucheze tuone mwaya
 
Hiki ndio kinachotokea pale ambapo unakuwa mchezaji bora lakini wanaokuzunguka ni hovyo. Limemtokea christian ronaldo na limtokea mbape and lendawoski
Hahahah cristiano angekuwa bora angeanza Benchi? Angeigia akakosa nafasi pekee aliyopata baada ya kufichwa sana? Angeruka ruka kwa dakika 60 zote alizoingia???
kaTimu kenyewe Morroco??????
Nigga what?
 
Mungu wa Ibrahim, wa Isaka na wa Yakobo. Tulianza na wewe Mungu na tunamaliza nawewe Mungu wetu, usiyeshindwa. Hujawahi shindwa, hishindwi na hutokuja kushindwa kamwe.
Umemfanya Messi kuwa bora na leo kawa bora zaidi. Mungu Baba tunasema asante. 🙏🙏🙏
Acheni hizo
Unataka kusema Mungu wa Ufaransa ye hasikii ama
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom