National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
kweli kabisa kwa 23, ana kama 5 hapo ambayo ana nafasi nzuri ya kufanya vyemaUko right ana safari ndefu , uzuri bado umri una ruhusu. So far hapa alipofikia ni mafanikio sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli kabisa kwa 23, ana kama 5 hapo ambayo ana nafasi nzuri ya kufanya vyemaUko right ana safari ndefu , uzuri bado umri una ruhusu. So far hapa alipofikia ni mafanikio sana
Sio 26?Wakuu Halaand kuanzia tarehe 22 Dec, kunakuwa kumekucha tena.
Mnaleta mvulana kwenye shughuli ya wanaume, mtu mpaka dk ya 70 hajagusa mpira😁😁😁😁Kunywa maji uje uedit ulichoandika hapo
Hongera Argentina na Messi kwa kutwaa kombe la dunia kwa mara ya tatu ila Pele bado atabaki the greatest footballer of the all time kwa kutwaa taji hilo mara tatu kitu ambacho wachezaji wengi wameshindwa.
Umesema Mkuu... Mbape na Halland sasa wakaze mafuvu watokee.Kipindi cha Messi na CR7 kimeisha sasa na inatosha. Dunia ya Soka ianze kukuza kizazi kipya, tuone damu mpya zikishindania mchezaji bora. Messi na aliyekuwa anampa changamoto yaan CR7 wabaki kwenye historia. Ni wakati wa kuwainua kina Mbappe, Halland na wengineo, Burudani ya soka na iendelee. Ni bahati kuwashuhudia CR7 na Messi wakicheza.
Kabisa kabisa inatosha sana tuwape nafas wengine sasaKipindi cha Messi na CR7 kimeisha sasa na inatosha. Dunia ya Soka ianze kukuza kizazi kipya, tuone damu mpya zikishindania mchezaji bora. Messi na aliyekuwa anampa changamoto yaan CR7 wabaki kwenye historia. Ni wakati wa kuwainua kina Mbappe, Halland na wengineo, Burudani ya soka na iendelee. Ni bahati kuwashuhudia CR7 na Messi wakicheza.
Asante Mkuu ni 26Sio 26?
Pole sana mkuu, Ronaldo alikuliza, leo tena na penalty 2 umelia, I can feel your painZumbukuku la Miss penati ongeza sauti [emoji28][emoji1732][emoji16]View attachment 2451168
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kila mwanadamu ana haki ya kutoa mawazo ,na we we ndoo mawazo yakoMbappe ni mzuri but is not natural born talent yupo kama Christian Ronald jitihada binafsi ndizo zinamuweka kwenye chati.
Wachezaji wengi wanao acha legacy nzuri kisoka ni wale ambao wanao dribble mpira/kupiga chenga kwa kiasi kikubwa na sio kukimbizana na Mpira.ndio maana gaucho amecheza kipindi kifupi kuliko CR7 lakini ukiwaleta katika mizani watu watamchagua Ronaldinho Richard ya kuwa na tuzo chache kuliko CR7.
Ndiyo wawaige moto waoKipindi cha Messi na CR7 kimeisha sasa na inatosha. Dunia ya Soka ianze kukuza kizazi kipya, tuone damu mpya zikishindania mchezaji bora. Messi na aliyekuwa anampa changamoto yaan CR7 wabaki kwenye historia. Ni wakati wa kuwainua kina Mbappe, Halland na wengineo, Burudani ya soka na iendelee. Ni bahati kuwashuhudia CR7 na Messi wakicheza.
Kabisa boss. Wana rekodi ngumu sana za kuzifikia na kuzivunja ingawa naona Mbappe kaanza vizuri. Mara ya mwisho fainali kufungwa hatrick ilikuwa fainali ya muda kidogo na leo kaifikia.Umesema Mkuu... Mbape na Halland sasa wakaze mafuvu watokee.
Vp mkuu sioni tena kifaransaUwe na adabu kwa kijana wetu
Umeongea na Messi lkn au unaropoka ropoka kama kasuku?
Kweli boss.Kabisa kabisa inatosha sana tuwape nafas wengine sasa
Mademu wengi ni cr7 kama ulikua hujuiMtanisamehe wakuu, nilichogundua messi anakubalika zaidi kwa wanawake 💃💃💃 na watu wafupi 🙇🙇🙇
😁😁😁
King Mbappe is the First hat trick winner in the world cup [emoji123][emoji3059]Yaani kitoto kile hata UEFA hakina ndo akwe tegemezi au mchezaji Bora wa mashindano[emoji23][emoji23][emoji23].
Pale ukiachana na kukimbia sana hamna mchezaji ..Ile 2018 ni uzamni wa malegend kibao ndo kachukua ila kwa kupewa timu bado mshamba hawezi kubeba.