Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Mm nilale naumwa au..

Nilikua naksbr hapa tuendeleze shangwe la Ubingwa.

Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
vamoosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
 
Mm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.

Na wanajua ilo kbs kua mm ni bingwa wa dunia hkn wa kunibishia ilo.

Mm kiukwl leo silali kbs Yan kwnz hpa naendelea kupata 2 tatu nikijua kbs leo sina kaz nyngne zaid ya shangwe la Ubingwa.

Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
kesho world public holiday aseeee
asiyetaka akapoo boga
 
Kabisa mkuu, passion na team work[emoji1491]
Yan ambacho kilikua kinafanya mm naamin sana hii team... Ilikua ukimsikiliza kila m1 wao wanakwambia watapambana kufa na kupona.

Na iyo spirit iyo ndo umefny had leo tumebeba ubingwa wa dunia.

Na kama kuna game imetupa ubingwa bas ni ile ya Kufungwa na Saudi Arabia asee nilishukr sana sik ile tumefungwa tena game ya kwnz iyo ndo ilitupa kuamka mapema kua tunabid tuwe serious na hapo kocha ndo akajua ss team yake ya kwnz ni ipi na watu gn watokee bench.

Asee iyo game sisi kufungwa ukiniuliza mm ndo ilikua safar ye2 ya ubingwa inaanzia hapo..

IT WAS WRITTEN ALL OVER THE STARS AND FINALLY GOD[emoji1488] MADE IT HAPPEN FOR THE LOVE OF THE BEAUTIFUL GAME[emoji1033]

VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS [emoji1033]
 
Na bora tumeshinda ivo Pa1 sikutk iwe ivo lkn itakumbukwa kama final bora kbs kuwah kutokea na ndo Messi the#[emoji238] alikua bingwa wa dunia.

Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Ilikuwa game ya viwango sana, nafurahi kuingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwawatu walioangalia game hii, hakika nitasimulia vizazi
 
vamoosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooosssssssssssssssssssssssssssss Nakadori [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
 
Ilikuwa game ya viwango sana, nafurahi kuingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwawatu walioangalia game hii, hakika nitasimulia vizazi
Hakika mkuu ni game ilikua na kila aina ya drama asee ni game ambayo ilikua bora sana na ili deserve kua a WORLD CUP FINAL.

Vamoooooooooos [emoji1033]
 
Yan ambacho kilikua kinafanya mm naamin sana hii team... Ilikua ukimsikiliza kila m1 wao wanakwambia watapambana kufa na kupona.

Na iyo spirit iyo ndo umefny had leo tumebeba ubingwa wa dunia.

Na kama kuna game imetupa ubingwa bas ni ile ya Kufungwa na Saudi Arabia asee nilishukr sana sik ile tumefungwa tena game ya kwnz iyo ndo ilitupa kuamka mapema kua tunabid tuwe serious na hapo kocha ndo akajua ss team yake ya kwnz ni ipi na watu gn watokee bench.

Asee iyo game sisi kufungwa ukiniuliza mm ndo ilikua safar ye2 ya ubingwa inaanzia hapo..

IT WAS WRITTEN ALL OVER THE STARS AND FINALLY GOD[emoji1488] MADE IT HAPPEN FOR THE LOVE OF THE BEAUTIFUL GAME[emoji1033]

VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS [emoji1033]

Well said mkuu.

VAMOOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]

Leo is my Goat🤍[emoji171]

[emoji238]….
 
halafu huyu pimbi mbappe leo kapata penalty 2 ila hawasemi hawa vuvuzela
angekuwa goat hapo weeeee
Yan ww waache.

Penalty zikija kwe2 ndo uwa zinakua mbya.

Uzur saiv sisi ndo Mabingwa wapya wa dunia no1 can tell us anything.

Vamoooooooooooooooooos la Albiceleste [emoji1033]
 
Back
Top Bottom