Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Best player of the tournamentIyo ya 5 mkuu out of 7 games.
He's the#[emoji238]
Vamooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
8 Ballon d’or ……….
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Best player of the tournamentIyo ya 5 mkuu out of 7 games.
He's the#[emoji238]
Vamooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
[emoji23][emoji23] Ndo zitakumbukwa kama game za kiume kbs Yan.. Tumeshinda kwa mapambano ya jasho kwl kwl sio mchele mchele.Kombe limebebwa Ila kwa mbinde sana......ile mechi ya uholanzi na hii dah unaweza Pasua kende aseee
nlijua umelala nikupasueeeeBest player of the tournament
8 Ballon d’or ……….
Na alisema ivi yuko tyr kuweka maisha yake rehani ili tu Messi awe bingwa wa dunia.
Na kwl leo aliweka maisha yake rehani alicheza kama mwanajeshi aliyetumwa kupambania nchi.
Vamoooooooooooooooooooooooooooos [emoji1033]
vamoosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssMm nilale naumwa au..
Nilikua naksbr hapa tuendeleze shangwe la Ubingwa.
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooos[emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Kaka hii sio hata ya kuuliza.Best player of the tournament
8 Ballon d’or ……….
VP haaland akibeba uefa na EPL & golden bootKaka hii sio hata ya kuuliza.
Iyo tuzo no. 8 iko kabatini tyr.
Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033]
kesho world public holiday aseeeeMm kwnz job niliwapa taarifa kbs mapema kua j3 siwez kua job.
Na wanajua ilo kbs kua mm ni bingwa wa dunia hkn wa kunibishia ilo.
Mm kiukwl leo silali kbs Yan kwnz hpa naendelea kupata 2 tatu nikijua kbs leo sina kaz nyngne zaid ya shangwe la Ubingwa.
Vamoooooooooooooooooooooooos[emoji1033]
Kwa maneno haya ningekua shabiki wa ronaldo ningeondoka jfkesho world public holiday aseeee
asiyetaka akapoo boga
Yan ambacho kilikua kinafanya mm naamin sana hii team... Ilikua ukimsikiliza kila m1 wao wanakwambia watapambana kufa na kupona.Kabisa mkuu, passion na team work[emoji1491]
Ilikuwa game ya viwango sana, nafurahi kuingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwawatu walioangalia game hii, hakika nitasimulia vizaziNa bora tumeshinda ivo Pa1 sikutk iwe ivo lkn itakumbukwa kama final bora kbs kuwah kutokea na ndo Messi the#[emoji238] alikua bingwa wa dunia.
Vamoooooooooos Albiceleste [emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Vamooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooosssssssssssssssssssssssssssss Nakadori [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji1033]vamoosssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssssss
Nilale usingizi unatoka wapi sasa? 😃😃nlijua umelala nikupasueeee
Hakika mkuu ni game ilikua na kila aina ya drama asee ni game ambayo ilikua bora sana na ili deserve kua a WORLD CUP FINAL.Ilikuwa game ya viwango sana, nafurahi kuingia kwenye historia ya kuwa miongoni mwawatu walioangalia game hii, hakika nitasimulia vizazi
Yan ambacho kilikua kinafanya mm naamin sana hii team... Ilikua ukimsikiliza kila m1 wao wanakwambia watapambana kufa na kupona.
Na iyo spirit iyo ndo umefny had leo tumebeba ubingwa wa dunia.
Na kama kuna game imetupa ubingwa bas ni ile ya Kufungwa na Saudi Arabia asee nilishukr sana sik ile tumefungwa tena game ya kwnz iyo ndo ilitupa kuamka mapema kua tunabid tuwe serious na hapo kocha ndo akajua ss team yake ya kwnz ni ipi na watu gn watokee bench.
Asee iyo game sisi kufungwa ukiniuliza mm ndo ilikua safar ye2 ya ubingwa inaanzia hapo..
IT WAS WRITTEN ALL OVER THE STARS AND FINALLY GOD[emoji1488] MADE IT HAPPEN FOR THE LOVE OF THE BEAUTIFUL GAME[emoji1033]
VAMOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOS [emoji1033]
Yan ww waache.halafu huyu pimbi mbappe leo kapata penalty 2 ila hawasemi hawa vuvuzela
angekuwa goat hapo weeeee