Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Argentina yatwaa ubingwa Kombe la Dunia - Qatar 2022

Nawapongeza mashabiki wa argentina wote humu jamii forum

Safari ilikuwa ngumu lkn Mungu wa mbinguni alitupigania

Nimesoma comments zote nikiri wazi mashabiki wa argentina mpira wanaujua

No panic
No matusi
No hate language kwa wachezaji

Tulipofungwa mechi ya saudi arabia ndio nilifurahi sana ile ilikuwa ni wake up call kwa wachezaji walibadilika sana

Baada ya hapo mechi zote tulicheza vizuri mpaka jana

Makosa ya ottamend kusababisha tuta ndio kuliwarudisha ufaransa mchezoni

Maturity ya timu ilistahimili kipindi kigumu baada ya kusawazisha ufaransa

Mungu awabariki sana
Ningependa Christmas au new year tukutane tupate lunch km mshikamano, football huleta urafiki,undugu,upendo ujamaa

Kuna mashabiki washamba na wasio jua mpira wanamuita messi mfupi

Urefu wa messi ni 169cm na hiki ndicho kimo cha watanzania wengi tena wengi wanaishia 150cm

Ukiona shabiki anamshambulia mchezaji kwa lugha ya maumbile yake kwa chuki ujue huyo siyo mtu wa mpira ni kahaba aliyevamia mpira


Yote kwa yote football is a beautiful thing wandungu


Ile moment argentina anaongoza mbili kuna mzee alitoa ofa watu wanywe bia mbili wote
Ile bar ilikuwa na vibe

Ufaransa walipokuja kuchoka akainuka mfaransa akamlipa mzee bia zikatembea

Messi alipotuinua mzee wa argentina akatupiga round tena basi ikawa hivyo

Ni siku nyingine ambayo sitahisahau I love football
 
Uyo anacomment huku analia so ignore him/her
Naku elewesha tena ndugu mkono ahuusiki kwenye mpira zaidi ni goli kipa Tu ivo vidole vipo kichwani?? Si mkononi ile penati ya mwisho ya France si mchezaji wa ARGENTINA MABINGWA WA DUNIA mpira ulizuiliwa na mkono ndio ikawa penati mbape akafunga kama mkono unahusika ile penati ilitokana na nini?
Mkono ndio ulileta penati autakiwkucheza mpira kama ni ivyo ile penat ya kunawa ya france basi sio halali au jibu ile penat ilitokana na nni?
 
Back
Top Bottom