vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Wewe kapuku umechukia kuliko christiano?
Nimechukizwa na hawa kenge kuchukua hili kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimechukizwa na hawa kenge kuchukua hili kombe
Uje jukwaa la Liverpool kule tukuvishe jeziAbeee ze boss
Daah hakuna Siku nimeangalia mpira kwa pressure Kama Leo hasa waliporudisha magoli yote mawili
Kwenye kikao chetu cha jana usiku wa manane tulikubaliana huwa hatujibu wajinga...tunashangilia ushindi tuuuuu. Ukishindwa kabisa mjibu kwa picha mojawapo wa jana baada ya ushindiiWewe kapuku umechukia kuliko christiano?
NilinyamazaUlipolia ikawaje[emoji16]
Hahaha itabidi nijifunze maana mpira wangu ni wa weld kapu tuUje jukwaa la Liverpool kule tukuvishe jezi
Atakuwa ana 40Messi atacheza kombe la dunia 2026 kule kwao marekani amini nakwambia
Wa manzese labdaKatika umri wa mbape,messi alishashinda mchezaji bora wa dunia
Ulkua umejfcha huko umeona ndoo imepatkana ndo wajileta mnafk wwPope Francis anatoka argentina kumbuka hilo in mwakaseges voice [emoji16]
Japo Argentina wamebeba ila Mbappe is another GOAT
Asante sana mkuu lakini mm natumia PC.Pakua app Moja inaitwa "Football Live HD" hutojuta Mkuu....
Jana Argentina walistahili, walisubiri kwa mda mrefu sana,..Messi alistahili pia, kafanya mambo makubwa sana kwny soka,..King Mbappe alistahili kiatu,..Ufaransa haiwaumi kama ingevyowauma Argentina kama wangekosa.Bingwa wa kuloga[emoji16]
SCARS kimbia ujionee hapa, Tukayaita Argentina mbeleko FC yanakataa, VAR ni ujinga tupu wala hauna maamuzi yoyote kwa mpango wao wa FIFA [emoji23]
Ndiyomaana Muamuzi wa pembeni alionesha kibendera lakini Refa akajizima data [emoji28]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwenye kufuta maumivu ya miaka 8 iliyopita
View attachment 2451058
Naku elewesha tena ndugu mkono ahuusiki kwenye mpira zaidi ni goli kipa Tu ivo vidole vipo kichwani?? Si mkononi ile penati ya mwisho ya France si mchezaji wa ARGENTINA MABINGWA WA DUNIA mpira ulizuiliwa na mkono ndio ikawa penati mbape akafunga kama mkono unahusika ile penati ilitokana na nini?
Mkono ndio ulileta penati autakiwkucheza mpira kama ni ivyo ile penat ya kunawa ya france basi sio halali au jibu ile penat ilitokana na nni?
Nilipoteza fahamuHivi Saint Anne mzima jamani
Captain hadi wewe unanisaliti kweli?😂💔My darling Miss Liverpool vipi ubao ulipo wa magoli kunako Qatar unasoma vipi😀😀😀😀
YNWA