Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ubingwa uliojitosheleza kabisa. Kwa kweli Ajentina iliandaliwa kubeba 😀😀😀Tumebeba kamanda😃😃😃
ipi na ipi alibebwa zitaje afu tukepe rekodi ya alichokifanya huo mwakaKatika zile tuzo tano za ronaldo ni mbili tu zilikuwa za ukweli tatu alibebwa
[emoji23]Kwmb ulivo kuja tu kwa Mabingwa bas ukatulia na ubingwa ukapata.Mashabiki wa Argentina hongereni sana msiyumbishwe na hao wababaishaji wakosaji wakubwa .
Tangu mashindano yaanze nimehama sana timu cha ajabu kila ninako hamia ndoige inanifuata kila ninakogeukia ndoige hiyooo mpaka nilipohamia Argentina ndio nimetulia
Hapakua na Offside kwa wachezaji wote sio pele peke yakeHakuna offside
Vamoooooooooos [emoji1033]VAMOOSSS ARGENTINA!![emoji1033][emoji1033][emoji1033]
Leo is my Goat🤍[emoji171]
[emoji238]….View attachment 2453039
Vamoooooooooos [emoji1033]View attachment 2453040
Source?
ipi na ipi alibebwa zitaje afu tukepe rekodi ya alichokifanya huo mwaka
Kama ni marca haishangaz wao kusema hvo tena provided its cr7 wala sishangai,wacha nimsubr fabrizio ndo millard ayo wanguMarca
Kesho tena mbwebwe nying kumbe mweupe kichwani yawezekan hat Uyo Ronaldo Na Messi tukikuletea picha zake huwajui kenge weNitakuletea kesho
Mie naona kitanda tu basi
Kama ni marca haishangaz wao kusema hvo tena provided its cr7 wala sishangai,wacha nimsubr fabrizio ndo millard ayo wangu
Kesho tena mbwebwe nying kumbe mweupe kichwani yawezekan hat Uyo Ronaldo Na Messi tukikuletea picha zake huwajui kenge we
Sawa wasalime ma ucle wambie mbappe ndio mfungaji Bora wa kombe la Dunia 2022 mana hamkawi kudanganya watoto na uwambie kwamba Messi hili ndio kombe lake Dunia la mwishoAkili za usiku mkuu nimekula na nacheza na vijana muda wa mjadala sina [emoji16]
Hilo shangwe lilipo Buenos Aires si la kitoto..nasikia kesho mapumziko huko Argentina.Mabingwa wa Dunia argentina wapo angani kurudi nyumbani argentina walipitia italy kuchota baraka
Kipindi cha pele kulikuwa na offside?
Alikuwaga Anakaa na goal keeper